Muziki Wikenda: Tucheze Japo Kidogo
Muziki unakujia mapema leo, unajua ni kwanini? Nitakupa sababu mwisho maana kwanza ninahitaji kukusalimia kapuku mheshimika, unajua kabisa umuhimu wako hapa jukwaani ni wa kipekee bila kujali lolote linalosemwa kwenye majukwaa mengine. KF ni Jukwaa bora, halilinganishwi wala kushindanishwa maana lenyewe ni ushindi tu na si kushindwanisha. Asante kwa kuwepo hapa Jumamosi hii.
Vipi weekend inaendaje? yangu ilikuwa rahisi sana, a lazy day, nimeamka nikaenda jogging kidogo mchangani, then nikaungana na vijana kucheza soka baadaye maveterani sisi tukajumuika kunywa supu na bia baada ya mazoezi. Mazoezi huleta appetite, nikapitia magazeti ya
shululu nikasoma habari za Hitler
husna muba nikajisomea historia na mapicha
Jimena na
Bitoz baadaye nikajibu maswali ya
Tumosa na aunt yangu
Shunie ambaye Bitozi hummuita Shumie (hata mimi huniita One)
😀. Nikaendelea kumsubiria mjomba
lee empire arudi maana nilimuona
Bailly5 online pamoja na
Clkey na hapo hapa kwa mbali akaja
Mkushi wa kusi akivuta ganja taratibu na si nikarudi tena beach huko akaonekana
Manga ML
Baadaye nikaona isiwe taabu nikanoa kiingreza kwa kumtafuta
shedede ambaye alikuwa anamtafuta
Mondray aliyekuwa akimkimbiza
demi mtaani kwa kina
Nyagei kwenye spoti huku Chelsea hadi mapumziko keshampiga Arsenal 2 mtungi. Anyway isiwe tabu maana
BlessedHope hayupo kaungana na kina
mzeewakungoa Mndali ndanyelakakomu ,
QUIGLEY Transcend na
Sakayo kuchukua mapumziko na tunawamiss hapa.
Muziki sasa, kuna miziki inachezeka jama uongo ukae mbali maana ni tangu unaisikia nyuzi ya kwanza hadi tumba unabaki kufurahia na kuutingisha mwili. Hebu tuburudike na muziki wa weekend wadau wa nguvu.