Makapuku Forum

Makapuku Forum

6456276d23a73e4d3accdfcae251ffd6.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji134] [emoji134] uongo wako huo Obe me naongeaga kinyaki na kikinga mm na vingereza wapi na wapi


ha hahahahaha, naweza nisiwe najua kukiongea ila kukisoma najua, maana huwa nasoma maneno mara sister, oh my brother sijui home. Hayo maneno ni ya kinyaki na kikinga haya jamani? Au wakinga na wanyaki wa Londoni
 
ha hahahahaha, naweza nisiwe najua kukiongea ila kukisoma najua, maana huwa nasoma maneno mara sister, oh my brother sijui home. Hayo maneno ni ya kinyaki na kikinga haya jamani? Au wakinga na wanyaki wa Londoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu nakugawa bureeee
 
1/Andre Romelle Young
bfe00a6ac2aca64b192cf9d20ca1c24a.jpg
1d90aca69f620db62c7a061783b69cc1.jpg
bb80c029189e7f6cec64fa5ed15fa7f6.jpg
Huyu jamaa huko kwa Trump nu kama Mkubwa Fella wasanii kibao wamepitia kwake
Ni prodyuza abayefahamika kwa jina la Dr Dre... jamaa kweli ni daktari wa muziki
Ana umri wa miaka 49
Anamiliki studio na vitega uchumi kibao

Ana utajiri wa USD 790 Milioni
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
.............

Asante bitoz kwa kumi kubwa
 
Muziki: Simba Akinyeshewa Usidhani Paka

Ni muda mzuri mheshimika sana Kapuku mwenzangu ambaye siku ya leoo Ijumaa, TGIF nachelea kusema sijachelewa kukusalimia. Unajua kabisa ni lazima nikusalimie maana wewe ni member muhimu humu na unalifanya jukwaa hili kuwa zuri sana. asante kapuku wewe unayejitolea muda na resources zako nyingine kulifanya jukwaa hili liwe Jukwaa la kushindanishwa na majukwaa mengine. KF haijitangazi, inatangazwa na sababu ni kuwa wewe upo hapa. Endelea kuweka input tuwe wa kipekee.

Naamini tumekuwa na wakati mzuri, binafsi mambo ya casual friday ndo ilikuwa na hadi muda huu bado niko naifurahia Ijumaa, unaweza usifanye kama mimi maana tunatofautiana muda, mtaji na wanaotuzunguka. TL sasa hivi amezungukwa na manjagu amehakikishiwa usalama wake. Kuna mambo sio ya kuchekea, kwa sababu huwa hayaishii kwa mtu mmoja tu, wakimaliza kwake watakuja kwa jirani yako na kisha watakuja kwako, kondoo hasifiki kwa upole.

Muziki sasa, leo tumekuwa na mengi humu, asanteni sana kwa wote mliotuamsha kwa kila kipengele, na zaidi asante kwa wote mliochangia kwa kila kimoja iwe kwa kusoma au kuandika. Kusema asante nakurudisha miaka michache nyuma wakati ambapo muziki wa studioni ndo unatamba na zipo nyimbo zilizobamba wahenga wa leo hadi nyie wahenga wa kesho.

Muziki utajieleza zaidi

Nakupenda kapuku mwenzangu maana unalifanya jukwaa hili kuwa mahala pazuri pa kutembelea


 
Back
Top Bottom