Kumbe upo kazini acha ni nzuri
The Black Eyed Peas - Where Is The Love?:
Hv mke mweee mama mchuchu anaendleajeBinamu naomba uniweke hiyo nyimbo jaman nataka kulala mie
Hi Shedy[emoji113] [emoji113] [emoji113]Hi, tumosa..?
post using my macbook air using jamiiforums app
Hajambo mke mweeHv mke mweee mama mchuchu anaendleaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio mana ulimkimbia mke mweee[emoji134] [emoji134] uongo wako huo Obe me naongeaga kinyaki na kikinga mm na vingereza wapi na wapi
mbududa kashusha episode mbili halaf yule mtu aliyetaka kunitumia yote kanitumia shida sasa ipo vipande vipande mpaka kuja kuisha sio leoHi Shedy[emoji113] [emoji113] [emoji113]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] ngoja niende,hvo vipande vikoje mke mweee ni screenshort aumbududa kashusha episode mbili halaf yule mtu aliyetaka kunitumia yote kanitumia shida sasa ipo vipande vipande mpaka kuja kuisha sio leo
Aiseee
[emoji134] [emoji134] uongo wako huo Obe me naongeaga kinyaki na kikinga mm na vingereza wapi na wapi
sio vya screenshot vya maneno ila vifupi unakumbuka yule mdada aliyekua anatuwekea screenshot ndio vipo vile ufupi ufupi[emoji124] [emoji124] [emoji124] ngoja niende,hvo vipande vikoje mke mweee ni screenshort au
Sijui kama nitalala mie leo jamaan anatisha [emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu nakugawa bureeeeha hahahahaha, naweza nisiwe najua kukiongea ila kukisoma najua, maana huwa nasoma maneno mara sister, oh my brother sijui home. Hayo maneno ni ya kinyaki na kikinga haya jamani? Au wakinga na wanyaki wa Londoni
1/Andre Romelle Young![]()
Huyu jamaa huko kwa Trump nu kama Mkubwa Fella wasanii kibao wamepitia kwake![]()
Ni prodyuza abayefahamika kwa jina la Dr Dre... jamaa kweli ni daktari wa muziki
Ana umri wa miaka 49
Anamiliki studio na vitega uchumi kibao
Ana utajiri wa USD 790 Milioni
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
.............
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu nakugawa bureeee