Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Ahahah shemela usinigombanishe ujue na binamu yanguBinamu yako anapenda sana kukuona unaongea
Ahahah shemela usinigombanishe ujue na binamu yanguBinamu yako anapenda sana kukuona unaongea
Nimekumbuka ndo ile siku hakurudi nyumbaniNdio umeiona
Hutaki nicheke shemelaShemela wangu kwenye ubora wako kabisa
Binamu si unajua vile nakupenda shemela shululu ni mchochezindo hivyo sas, na nikiongea ananisemea kwa anko wangu basi wote wananishambulia hata kama ninamsaidia. Aunt yangu muache tu
Shemela wangu ujue nimevuta picha na kitambi cha baba d jaman hivi hajajikwaa kweli alivyokua anakimbia
Ahahhah jichekee tu shemela maisha yenyewe mafupi haya baba jjHutaki nicheke shemela
... wewe huwapendi? Unapenda madokta?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi anko wako anapenda waganga eeh binamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ukibonge ule na kitambi chake binamu mtaniulia mume jaman kwani alifumaniwa huko jaman auhajajikwaa, alikimbilia baharini, si unajua sisi wenye vitambi huwa hatuzami? Sasa hiyo ndo pona pona yake. Anko wangu yuko smart sana, yaani kakimbizwa toka Mbezi hadi kunduchi karibu na kota za polisi
Binamu si unajua vile nakupenda shemela shululu ni mchochezi
Ahahahhah binamu me nampenda Yesu tu... wewe huwapendi? Unapenda madokta?
Hayo maneno ya watu binamu hayanisumbui ujue nimeshayozoea mie nakupenda binamu yangu jaman...ukisema hivyo najisikia vizuri. Ni kweli maana ni wewe tu hapa ndo huwa unaniunga mkono kwenye mambo mazuri.
sema tu wakati mwingine huwa nakuudhi sababu ya amaneno ya watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ukibonge ule na kitambi chake binamu mtaniulia mume jaman kwani alifumaniwa huko jaman au
[emoji3][emoji3][emoji3]binamu sijasema amefumaniwa nimeuliza tu huko kukimbizwa amefanya nini isije ikawa amefumaniwa...kwa kuwa umesema wewe kuwa kafumaniwa, basi itakuwa kafumaniwa kweli. Akija muulize na usisahau kunitag
[emoji3][emoji3][emoji3]binamu sijasema amefumaniwa nimeuliza tu huko kukimbizwa amefanya nini isije ikawa amefumaniwa
Ewaaaaaa muulize kwa niaba yangu binamu...hata mimi sijasema?
Sasa vipi akija nimuulize kwa niaba yako halafu nikutag?
Ewaaaaaa muulize kwa niaba yangu binamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu wewe sijui umewaza nini jamanbaadaye msipate halafu jumba bovu mniangushie mimi yaani hapo sitakuelewa kabisa
Usiku mwema makapuku wote