Makapuku Forum

Makapuku Forum

latest
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mpendwa wa binamu hana chake
 
Mimi nilisema tu kuwa alikimbizwa basi nikaishia hapo, na uzuri alikuwa anakimbia kurudi nyumbani boksa kashikiria mkono wa kushoto, shati na suruali sijui aliviacha wapi?
Kwahiyo ameporwa baba d au ndio aliamua kujiteka na mdogo wa mama ashura binamu jaman
 
Asante kushukur aunt, baba D kakimbia sana leo uliposema afanye mazoezi akaenda kule (sipataji usije ukaninyima ile safari) bila taarifa sasa kakimbizwa sana. ila anko wangu ana mbio jamani, sijui ndo ngedere wamempa mazoezi😀
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom