Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mechi kali za leo Jumapili
Simba Vs Azam
Man Utd Vs Leicester City.
Kimba Sc anakufa km vp wadraw ili kutusafishia njia ya ubingwa

Mi Man utd lkn Leicester akishinda nitafurahi pia coz wanastahili kuchukua ndoo.....sioni km tutafika Top 4 japo inawezekana
Kuwafunga Leicester ni kuwacheleweshea ubingwa tu

..............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom