Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Ndio kabisaMungu ni mwingi wa Rehema.
Ndio kabisaMungu ni mwingi wa Rehema.
Niambie kakaKaka th name!
Ilikua kidogo tu tumeachaSi hao, wanaongea sijui manini tu.
Hilo usijali, niambie mwenyewe mrembo muzuri nikutolee ka sh. ngapi vile?Sijaolewa alaf mie mahari unitumie kwa western union, haya utatoa ngapi?
Unashangaa nini.Hee...![]()
Karata yangu mm naitupa Leicester
Usijali EMMYGUY shamba boy wangu anakuletea.Togwa baridi tafadhali
Man u anakufa moja mtungiTabiri matokeo
Mie niko salama kabisa. Wikiendi inaenda hapo?safi kaka, sijui wewe?
Nimeelwa mkuu.![]()
au hukusoma vizur ulicho quote
![]()
![]()
Man u anakufa moja mtungi
Nawashauri wasiendekeze hilo kulinda umoja wetu wakuuSi hao, wanaongea sijui manini tu.
Basi kila la kher mkuu chukua Hilo blanket chapa mtuNimeelwa mkuu.
Pesa kwangu si tatizo.
Mzima ndugu!Jambilo
Kimba Sc anakufa km vp wadraw ili kutusafishia njia ya ubingwa
Mi Man utd lkn Leicester akishinda nitafurahi pia coz wanastahili kuchukua ndoo.....sioni km tutafika Top 4 japo inawezekana
Kuwafunga Leicester ni kuwacheleweshea ubingwa tu
![]()
![]()
![]()
![]()
..............
Usiwaze baba paroko umoja wetu uko palepaleNawashauri wasiendekeze hilo kulinda umoja wetu wakuu
Nimekufatilia wapi wewe naye?Bro mbona unanifuatilia.
Mzima mkuu!Ilikua kidogo tu tumeacha
Wa afya kabisa mkuu vip umesalimika pamoja na waumini?Mzima ndugu!