Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Kupumzika ni Muhimu

Hakuna ubishi kuwa KF ni sehemu bora kabisa kulinganisha na majukwaa mengine humu JF, na unajua ni kwanini hili linabaki kuwa jukwaa bora kabisa la mfano? Kama huji nitakujuza leo, hapa ni facts bila farts ( a fart free zone) kwa mujibu wa wataalamu wetu wa utafiti usio rasmi profesa Mndali ndanyelakakomu na dokta mzeewakungoa . Kubwa zaidi sehemu hii ni nzuri kwa sababu wewe upo, yeah wewe unayesoma muda huu uko hapa ni smart sana na unalifanya jukwaa letu kuwa mukide.

Mapumziko ni muhimu wadau, msiseme sijawaambia maana sihitaji kuwaambia the obvious (kitu kinachojulikana wazi). Ukiwa ni mwanafunzi, baba, mama, mfanyakazi na zaidi ukiwa Kapuku unahitaji mapumziko, kujenga mwili na kuuhisha akili ili uweze kuwa timamu na kamili kabisa katika kujenga nchi. Shukurani kwa member wenzetu ambao wameamua kuchukua mapumziko Sakayo , Clkey , Mussolin5 , BlessedHope, husna muba , Tumosa kutaja wachache.

Asante sana kwa mjomba lee empire kutupatia UF, dondoo za BBC, na hadithi, asante shululu kwa magazeti, asante Jimena kwa historia, asante Nyagei kwa matokea na dondoo za michezo, na asante Bitoz kwa kubwa 10 na picha nzuri kabisa. Nyinyi wadau mnatufanya Makapuku tuwe na furaha na waelewa wakati wote, tunawiwa deni nanyi, nasi hatuchoki kusema asante. Karibu sana Madame S hapa KF uwepo wako unalifanya jukwaa hili kupendeza sana. Aunt yangu Shunie unajua sina sababu ya kukusahau kukushukuru kwa kuwepo hapa.

Muziki sasa, inawezekana huupendi sana muziki wa Rock, yeah, ni muziki wa gitaa za umeme zinazopigwa kwa fujo na ni maarufu US na Uropa (Arsenal anacheza Uropa ha hahahaha-chezea namba nne wewe). Ila kuna soft rock hii inapigwa taratibu na utaipenda na ndiyo itatuburudisha leo ikiwa ni dedication kwa mdau mwenzetu Transcend
Burudika na ufurahie gitaa



Asante Sakayo kwa pick of the day, mapumziko mema

Thank you Sakayo.

Asante Obe! Asante Shunie..!

Much appriciation to you guys..!
 
Akiwa kwenye maji anatoa uzi flani dizain mwembamba sana ukiugusa pia ni unakua kama umekatwa na wembe au kisu

Kuna wengine huwasha

Me ni mpenzi wa kuhudhuria beach sana, kuna swimming club moja hawa hua wanakuja na maji vile yakijaa bas wakiogolea wote utawaona wakitoka na kujikuna nahisi sumu zinatofautiana kama vilenyoka wapo ambao sumu zao zinaua within a glance of an eye!! Na kuna ambao unaweza kustahmili na tiba ukapata

Asante leo najifunza kutoka kwako

Madame S
Bora kule kwetu Mara viumbe hivi tunavisikia tu
 
1/Fierce Snake
931e850226d64f26938bafbc56d70713.jpg
6c2f6e5aff5d8ad399cd20cc334212a5.jpg
091f3bf6eaf241bf4761c1a552e341db.jpg

Anapatikana nchini/barani Australia
Ni nyoka jamii ya chatu ....achana na vichatu uchwara vya sijui Singida huyu ni habari ya kijijini
Huwa na urefu wa mita 1.8 hadi 2.5 ila pia ikitokea huweza kuvuka hup urefu kama watu aina ya Hasheem Thabeet
Huyu nyoka ana sumu kaliiiiiii
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Niwatakie Usiku Mwema
.......
 
1/Fierce Snake
931e850226d64f26938bafbc56d70713.jpg
6c2f6e5aff5d8ad399cd20cc334212a5.jpg
091f3bf6eaf241bf4761c1a552e341db.jpg

Anapatikana nchini/barani Australia
Ni nyoka jamii ya chatu ....achana na vichatu uchwara vya sijui Singida huyu ni habari ya kijijini
Huwa na urefu wa mita 1.8 hadi 2.5 ila pia ikitokea huweza kuvuka hup urefu kama watu aina ya Hasheem Thabeet
Huyu nyoka ana sumu kaliiiiiii
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Niwatakie Usiku Mwema
.......
Na kwako pia

Asante kwa mada japo nimeikuta njianina nimeweza kuielewa

Alamsiq Mungu akipenda kesho

Madame S
 
1/Fierce Snake
931e850226d64f26938bafbc56d70713.jpg
6c2f6e5aff5d8ad399cd20cc334212a5.jpg
091f3bf6eaf241bf4761c1a552e341db.jpg

Anapatikana nchini/barani Australia
Ni nyoka jamii ya chatu ....achana na vichatu uchwara vya sijui Singida huyu ni habari ya kijijini
Huwa na urefu wa mita 1.8 hadi 2.5 ila pia ikitokea huweza kuvuka hup urefu kama watu aina ya Hasheem Thabeet
Huyu nyoka ana sumu kaliiiiiii
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Niwatakie Usiku Mwema
.......
Asante kwa 10 kubwa
 
1/Fierce Snake
931e850226d64f26938bafbc56d70713.jpg
6c2f6e5aff5d8ad399cd20cc334212a5.jpg
091f3bf6eaf241bf4761c1a552e341db.jpg

Anapatikana nchini/barani Australia
Ni nyoka jamii ya chatu ....achana na vichatu uchwara vya sijui Singida huyu ni habari ya kijijini
Huwa na urefu wa mita 1.8 hadi 2.5 ila pia ikitokea huweza kuvuka hup urefu kama watu aina ya Hasheem Thabeet
Huyu nyoka ana sumu kaliiiiiii
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Niwatakie Usiku Mwema
.......
Ahsate, nawe pia, tukutane kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Don't Mess with Kansiime.

.."Thamini cha kwako "

Kapuku hapa huwa ni sehemu sahihi kabisa kila kunapopambazuka mpaka giza totoro , kuelimishana kila jambo linazidi kuipa sifa jukwaa letu ..huwepo wako hapa jukwaan wewe kapuku ni thaman tosha ...asante wote na uzuri mengi binamu wangu kaongea ...

Baada ya 10 kuliko za Bitoz mwenyewe tukasindikizwa na mziki toka kwa binamu wangu wa faida na mchango wa kapuku wote ni jukumu langu kukuwekea clip kidogo ya comedy ila yeye mafunzo ndan yake....

Ni vizuri tukathamini kila tulichonacho make thamani ya chochote ulichonacho /uliynaye utaiona endapo siku moja utakuwa unakikosa /unamkosa ...ata kama unakiona cha kawaida ila kithamini ...



 

Similar Discussions

Back
Top Bottom