Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Piranha
fda6423bd6fc0835c054443d46fee739.jpg
6476bbe4645f9ea57f427ea0a74e2669.jpg

Sijui inatamkwa Piranya au lah maana mimi sins undugu na Vasco Da Gama
Wanapatikana huko Brazil na ndo janga lao kuu majoni ukiachilia mbali nyoka aitwaye Anaconda
Ndiye samaki/mnyama mwenye meno yenye makali kama wrmbe ule wa zamani wenye rangi nyeusi na picha ya mamba
Wana uwezo kumuua/chanachana ng'ombe au binadamu kwa sekunde au dakika kadhaa na wakambakiza mifupa(picha zinatisha sijaweka tu kusudi)
35df4742309f111bd37b330f473cbd7c.jpg
db2647ed7bf2e0208124f1b09299443b.jpg

Kuna filamu kibao zimechezwa kumuhusu
Uyaonayp siyo tu action bali yanaakisi makali ya huyu samaki mwenye umbo la kawaida tu kama sato ila janga lake ni kubwa kumzidi hata papa!!
......
 
Muziki: Kupumzika ni Muhimu

Hakuna ubishi kuwa KF ni sehemu bora kabisa kulinganisha na majukwaa mengine humu JF, na unajua ni kwanini hili linabaki kuwa jukwaa bora kabisa la mfano? Kama huji nitakujuza leo, hapa ni facts bila farts ( a fart free zone) kwa mujibu wa wataalamu wetu wa utafiti usio rasmi profesa Mndali ndanyelakakomu na dokta mzeewakungoa . Kubwa zaidi sehemu hii ni nzuri kwa sababu wewe upo, yeah wewe unayesoma muda huu uko hapa ni smart sana na unalifanya jukwaa letu kuwa mukide.

Mapumziko ni muhimu wadau, msiseme sijawaambia maana sihitaji kuwaambia the obvious (kitu kinachojulikana wazi). Ukiwa ni mwanafunzi, baba, mama, mfanyakazi na zaidi ukiwa Kapuku unahitaji mapumziko, kujenga mwili na kuuhisha akili ili uweze kuwa timamu na kamili kabisa katika kujenga nchi. Shukurani kwa member wenzetu ambao wameamua kuchukua mapumziko Sakayo , Clkey , Mussolin5 , BlessedHope, husna muba , Tumosa kutaja wachache.

Asante sana kwa mjomba lee empire kutupatia UF, dondoo za BBC, na hadithi, asante shululu kwa magazeti, asante Jimena kwa historia, asante Nyagei kwa matokea na dondoo za michezo, na asante Bitoz kwa kubwa 10 na picha nzuri kabisa. Nyinyi wadau mnatufanya Makapuku tuwe na furaha na waelewa wakati wote, tunawiwa deni nanyi, nasi hatuchoki kusema asante. Karibu sana Madame S hapa KF uwepo wako unalifanya jukwaa hili kupendeza sana. Aunt yangu Shunie unajua sina sababu ya kukusahau kukushukuru kwa kuwepo hapa.

Muziki sasa, inawezekana huupendi sana muziki wa Rock, yeah, ni muziki wa gitaa za umeme zinazopigwa kwa fujo na ni maarufu US na Uropa (Arsenal anacheza Uropa ha hahahaha-chezea namba nne wewe). Ila kuna soft rock hii inapigwa taratibu na utaipenda na ndiyo itatuburudisha leo ikiwa ni dedication kwa mdau mwenzetu Transcend
Burudika na ufurahie gitaa



Asante Sakayo kwa pick of the day, mapumziko mema
 
3/Piranha
fda6423bd6fc0835c054443d46fee739.jpg
6476bbe4645f9ea57f427ea0a74e2669.jpg

Sijui inatamkwa Piranya au lah maana mimi sins undugu na Vasco Da Gama
Wanapatikana huko Brazil na ndo janga lao kuu majoni ukiachilia mbali nyoka aitwaye Anaconda
Ndiye samaki/mnyama mwenye meno yenye makali kama wrmbe ule wa zamani wenye rangi nyeusi na picha ya mamba
Wana uwezo kumuua/chanachana ng'ombe au binadamu kwa sekunde au dakika kadhaa na wakambakiza mifupa(picha zinatisha sijaweka tu kusudi)
35df4742309f111bd37b330f473cbd7c.jpg
db2647ed7bf2e0208124f1b09299443b.jpg

Kuna filamu kibao zimechezwa kumuhusu
Uyaonayp siyo tu action bali yanaakisi makali ya huyu samaki mwenye umbo la kawaida tu kama sato ila janga lake ni kubwa kumzidi hata papa!!
......
Interesting.....!!

Madame S
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom