Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/Great White Share
c9b3d159a350552e9231edcfad0d41e2.jpg
cf85aaf63c706e9f08d007e7721a1983.jpg

Namzunvumzia papa samaki sio Papa mkatoliki wala Papa Wemba au pengine papa utamu
Huyu ni mfalme kule baharini ....tatizo lake ni moja tu akisikia harufu ya damu hKuachi lazima akufanyizie
Silaha yake kuu ni meno yake nakali pamoja na kasi ya kuogelea
Ila hupenda kukaa kwenye kina kirefu hivyo endelea kwenda beach kujidai kama kawa
.....
Huyu ni shiida
 
3/Piranha
fda6423bd6fc0835c054443d46fee739.jpg
6476bbe4645f9ea57f427ea0a74e2669.jpg

Sijui inatamkwa Piranya au lah maana mimi sins undugu na Vasco Da Gama
Wanapatikana huko Brazil na ndo janga lao kuu majoni ukiachilia mbali nyoka aitwaye Anaconda
Ndiye samaki/mnyama mwenye meno yenye makali kama wrmbe ule wa zamani wenye rangi nyeusi na picha ya mamba
Wana uwezo kumuua/chanachana ng'ombe au binadamu kwa sekunde au dakika kadhaa na wakambakiza mifupa(picha zinatisha sijaweka tu kusudi)
35df4742309f111bd37b330f473cbd7c.jpg
db2647ed7bf2e0208124f1b09299443b.jpg

Kuna filamu kibao zimechezwa kumuhusu
Uyaonayp siyo tu action bali yanaakisi makali ya huyu samaki mwenye umbo la kawaida tu kama sato ila janga lake ni kubwa kumzidi hata papa!!
......
Huyo ni balaa
 
2/Box Jellyfish
4f5b31304efbe08970650c0501565c27.jpg
382354d3adeebe8d636a1f31d791da75.jpg
b1ac32d37e7d319b3f589ebd64d3565f.jpg

Anatajwa kama samaki/mnyama mwenye sumu kali zaidi duniani.....mbaya zaidi ana life spam mkubwa na hafi kwa magonjwa
Ana sumu yenye uwezo wa kuua hadi watu 50
Akikugusa tu ndani ya sekunde/dakika kiduchu tu utaitwa marehemu kama hujachukua hatua
Hivyo kama unatumia smartphone ya water proof basi haraka bafilisha status na kundika RIP ili masela wajue ushapata janga
......
 
Si ndie Tiger fish huyu?
3/Piranha
fda6423bd6fc0835c054443d46fee739.jpg
6476bbe4645f9ea57f427ea0a74e2669.jpg

Sijui inatamkwa Piranya au lah maana mimi sins undugu na Vasco Da Gama
Wanapatikana huko Brazil na ndo janga lao kuu majoni ukiachilia mbali nyoka aitwaye Anaconda
Ndiye samaki/mnyama mwenye meno yenye makali kama wrmbe ule wa zamani wenye rangi nyeusi na picha ya mamba
Wana uwezo kumuua/chanachana ng'ombe au binadamu kwa sekunde au dakika kadhaa na wakambakiza mifupa(picha zinatisha sijaweka tu kusudi)
35df4742309f111bd37b330f473cbd7c.jpg
db2647ed7bf2e0208124f1b09299443b.jpg

Kuna filamu kibao zimechezwa kumuhusu
Uyaonayp siyo tu action bali yanaakisi makali ya huyu samaki mwenye umbo la kawaida tu kama sato ila janga lake ni kubwa kumzidi hata papa!!
......
 
Yeah huyu ni Immortal kabisa niliona wakimchambua kwenye Chanel ya NatGeo wild ni nouma..
2/Box Jellyfish
4f5b31304efbe08970650c0501565c27.jpg
382354d3adeebe8d636a1f31d791da75.jpg
b1ac32d37e7d319b3f589ebd64d3565f.jpg

Anatajwa kama samaki/mnyama mwenye sumu kali zaidi duniani.....mbaya zaidi ana life spam mkubwa na hafi kwa magonjwa
Ana sumu yenye uwezo wa kuua hadi watu 50
Akikugusa tu ndani ya sekunde/dakika kiduchu tu utaitwa marehemu kama hujachukua hatua
Hivyo kama unatumia smartphone ya water proof basi haraka bafilisha status na kundika RIP ili masela wajue ushapata janga
......
 
2/Box Jellyfish
4f5b31304efbe08970650c0501565c27.jpg
382354d3adeebe8d636a1f31d791da75.jpg
b1ac32d37e7d319b3f589ebd64d3565f.jpg

Anatajwa kama samaki/mnyama mwenye sumu kali zaidi duniani.....mbaya zaidi ana life spam mkubwa na hafi kwa magonjwa
Ana sumu yenye uwezo wa kuua hadi watu 50
Akikugusa tu ndani ya sekunde/dakika kiduchu tu utaitwa marehemu kama hujachukua hatua
Hivyo kama unatumia smartphone ya water proof basi haraka bafilisha status na kundika RIP ili masela wajue ushapata janga
......
Akiwa kwenye maji anatoa uzi flani dizain mwembamba sana ukiugusa pia ni unakua kama umekatwa na wembe au kisu

Kuna wengine huwasha

Me ni mpenzi wa kuhudhuria beach sana, kuna swimming club moja hawa hua wanakuja na maji vile yakijaa bas wakiogolea wote utawaona wakitoka na kujikuna nahisi sumu zinatofautiana kama vilenyoka wapo ambao sumu zao zinaua within a glance of an eye!! Na kuna ambao unaweza kustahmili na tiba ukapata

Asante leo najifunza kutoka kwako

Madame S
 
2/Box Jellyfish
4f5b31304efbe08970650c0501565c27.jpg
382354d3adeebe8d636a1f31d791da75.jpg
b1ac32d37e7d319b3f589ebd64d3565f.jpg

Anatajwa kama samaki/mnyama mwenye sumu kali zaidi duniani.....mbaya zaidi ana life spam mkubwa na hafi kwa magonjwa
Ana sumu yenye uwezo wa kuua hadi watu 50
Akikugusa tu ndani ya sekunde/dakika kiduchu tu utaitwa marehemu kama hujachukua hatua
Hivyo kama unatumia smartphone ya water proof basi haraka bafilisha status na kundika RIP ili masela wajue ushapata janga
......
Hatarii
 
Basi nimechanganya madesa hapo..
Eti huyo anakula mamba na viboko..
9a83a0188b93ae8e0dd43a3fa3c81bbc.jpg

Huyu ndo tigerfish
Hawafanani kabisa hata kwa rangi
Piranha kama anavyofanana jina na akina Ronaldinho anapatikana Brazil
.......
 
Akiwa kwenye maji anatoa uzi flani dizain mwembamba sana ukiugusa pia ni unakua kama umekatwa na wembe au kisu

Kuna wengine huwasha

Me ni mpenzi wa kuhudhuria beach sana, kuna swimming club moja hawa hua wanakuja na maji vile yakijaa bas wakiogolea wote utawaona wakitoka na kujikuna nahisi sumu zinatofautiana kama vilenyoka wapo ambao sumu zao zinaua within a glance of an eye!! Na kuna ambao unaweza kustahmili na tiba ukapata

Asante leo najifunza kutoka kwako

Madame S
Huyu ni "Box Jellyfish" inawrzekana wapo aina tofauti tofauti
Huyu sio wa kumchezea
.......
 
Babaa huyo unammezaje sasa kwa mfanoo sindo kifo chenyewe kama ulivyomwambia madam s ampige unyeke/roba tembo..
Yeah
Huishi milele....njia pekee ya kummaliza ni kwa kumuua au kummeza hata ukimjeruhi anajiponyesha na kurudi upya
Kamwe haugui
.......
 
...kwa kweli anko wangu umenifumbua macho, yaani nafurahia kuwa na wewe anko, umenifungua macho. Yaani naiona talaka inaniita kwa furaha.
Sasa nifanyeje anko, si unajua wewe ndo mshauri wangu mkuu ninayekutegemea
Ndo ujipangee ...ongea vizur na aunt yako
 
Muziki: Kupumzika ni Muhimu

Hakuna ubishi kuwa KF ni sehemu bora kabisa kulinganisha na majukwaa mengine humu JF, na unajua ni kwanini hili linabaki kuwa jukwaa bora kabisa la mfano? Kama huji nitakujuza leo, hapa ni facts bila farts ( a fart free zone) kwa mujibu wa wataalamu wetu wa utafiti usio rasmi profesa Mndali ndanyelakakomu na dokta mzeewakungoa . Kubwa zaidi sehemu hii ni nzuri kwa sababu wewe upo, yeah wewe unayesoma muda huu uko hapa ni smart sana na unalifanya jukwaa letu kuwa mukide.

Mapumziko ni muhimu wadau, msiseme sijawaambia maana sihitaji kuwaambia the obvious (kitu kinachojulikana wazi). Ukiwa ni mwanafunzi, baba, mama, mfanyakazi na zaidi ukiwa Kapuku unahitaji mapumziko, kujenga mwili na kuuhisha akili ili uweze kuwa timamu na kamili kabisa katika kujenga nchi. Shukurani kwa member wenzetu ambao wameamua kuchukua mapumziko Sakayo , Clkey , Mussolin5 , BlessedHope, husna muba , Tumosa kutaja wachache.

Asante sana kwa mjomba lee empire kutupatia UF, dondoo za BBC, na hadithi, asante shululu kwa magazeti, asante Jimena kwa historia, asante Nyagei kwa matokea na dondoo za michezo, na asante Bitoz kwa kubwa 10 na picha nzuri kabisa. Nyinyi wadau mnatufanya Makapuku tuwe na furaha na waelewa wakati wote, tunawiwa deni nanyi, nasi hatuchoki kusema asante. Karibu sana Madame S hapa KF uwepo wako unalifanya jukwaa hili kupendeza sana. Aunt yangu Shunie unajua sina sababu ya kukusahau kukushukuru kwa kuwepo hapa.

Muziki sasa, inawezekana huupendi sana muziki wa Rock, yeah, ni muziki wa gitaa za umeme zinazopigwa kwa fujo na ni maarufu US na Uropa (Arsenal anacheza Uropa ha hahahaha-chezea namba nne wewe). Ila kuna soft rock hii inapigwa taratibu na utaipenda na ndiyo itatuburudisha leo ikiwa ni dedication kwa mdau mwenzetu Transcend
Burudika na ufurahie gitaa



Asante Sakayo kwa pick of the day, mapumziko mema

Baby I miss you
Linamo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom