Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Uachweeee tu hakuna namna binamu
wewe tena, ningeshangaa usiunge mkono mimi kuachwa. hakuna hata moja ambalo huwa unanisapoti, yaani nikiumia ndo furaha yako.
Uachweeee tu hakuna namna binamu
Uachweeee tu hakuna namna binamu
Oooh kumbe hatuchekani eeh?Sijajua yupo wapi maana hata mimi ni kama wewe, mwanae Shunie ndio anajua
Mama atarudi akiweza kutoa signature watu walikua wanamwambia kuhusu signature ya simu yake kutoa sasa hawezi akitoa atarudi mamyOooh kumbe hatuchekani eeh?
Madame S
Huyo mzungu alikuwa akinya porini au kuogelea mtoniAisee nimecheka sana namna ulivyowasilisha hii taarifa basi nikaangalia na picha yaani hapa hadi wanashangaa wanajua labda nimeshukiwa na malaika
wewe tena, ningeshangaa usiunge mkono mimi kuachwa. hakuna hata moja ambalo huwa unanisapoti, yaani nikiumia ndo furaha yako.




Mi wala sijui
Hata hujakosea dear!! Vyote sawa tuAhahhah au nimekosea mpenzi jaman
Obe zhusha tu muziki
Napumzika kidogo zen nitamalizia
.......
Anha asante kwa taarifa mamaMama atarudi akiweza kutoa signature watu walikua wanamwambia kuhusu signature ya simu yake kutoa sasa hawezi akitoa atarudi mamy
Weww hunitakii mema ujue hahahMi wala sijui
Nakushauri tu mpige kabali
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.....



naanzaje kumpiga kabali? Nahisi nitatimka mbio hazina idadiSikujua hiiKutokana na kuwa na miguu mifupi kwenye matuta hawezi kukukimbiza kama kwenye tambarale
Nimetuma msg nilizotumiwa na sakayo anahitaji hiyo nyimbo imfikie T wakepamoja sana, ngoja niandae santuri. Pamoja sana
shukrani kwa 10 kubwa zimenibamba sana, hadi saa hizi najifikira yule jamaa anayefukuzwa na kiboko
Umeshawahi kusikia kibaka kajitaja?...kwani umesikia yalaaaaa?
Ninafurahi umekuja salama, vipi una mpenzi?
Taarifa: Hili swali sijauliza mimi, msije mkaanza maneno yenu ya kuniharibia masuala yangu muhimu. Sasa hivi niko mahakamani naapa kuwa sijauliza mimi
Aisee mtaasisi hiyo ni mpya kabisa, nitajoin kwenye kijiwe chenu cha kahawa...sijui kama ni kweli, na wengine wanasemaga eti ukiogelea uchi kabisa (skin dive) huyu papa anabaki kukushangaa tu anaanza kutafuta kioo na yeye ajiangalie kama mnafanana. Haya ni maswali huwa tunaulizana kwenye kahawa

Mwambie akujeBinamu obeeee ebu weka hiyo nyimbo nasumbuliwa mie na sakayo huku
Hahahahapamoja sana, ngoja niandae santuri. Pamoja sana
shukrani kwa 10 kubwa zimenibamba sana, hadi saa hizi najifikira yule jamaa anayefukuzwa na kiboko



Aiseeee
Obe asisahau bhanaa shunii kuweka hiyo nyimbo
Huo uwoga wako tuWeww hunitakii mema ujue hahahnaanzaje kumpiga kabali? Nahisi nitatimka mbio hazina idadi
Madame S