Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977














Hakuna mke mweeUmeona eeeh cdhani kama safari ya kgamboni itendlea kuwepo na mahaba haya
Daah mzee wa nashindwaLeo jumapili, jana mji ulikuwa busy sana, maana na Bella alikuwa Moshi hiyo jana
Barikiwa mke mwee
Sawa mke mweeendio mke mwee
AiseeeHakyanani sijui nilichelewa wapi, yaani una maneno matamu kama sukari guru, yaani utamu wa maneno yako unaniozesha meno na kuyapa raha mapengo.
MmmmmhUjue siifatilii nipo busy na simu
Kiroba niliweka, kilo 25 za kiroba cha mchele toka Kyela.
unaongea naZilizoandikwa auHakuna mtavaa jeans na tshirt
Ndo unitumie voicehii mizengwe jamaan
Kwa kweliHakuna mke mwee
Asante dadaNamshukuru Mungu iko poa kbsa
AmeeniBarikiwa mke mwee
Nimeshaweka Baba D ubarikiwe
Kwa hiyo kwa yule hapigi kambi tenaaaa....mengi sana mtayaona na baaadaye mtamuona Mengi wa ITV
.....Special for?