Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Mjukuu wangu leo umechangamkaBinamu jamaaan
Mpendwa wa dj obe![]()

Mie kila siku nimechangamka babuMjukuu wangu leo umechangamka
Weka na neno kabisaYesu nipe macho nione macho ya roho nipe macho nione sawa sawa
Asante kushukuru,
Ha ahhahahaha, usiniite Jorowe tena maana kuna majina Husna hayajui na ndo bado asubuhi

Unaangalia ss7 kuna burudani nzuri sanaSio ukweli ila mm simo make nakumbuka milimute...
Ila hamna mtu nusu hapa
Hivi chuo upo wapi cha dini
Umeona eeeh cdhani kama safari ya kgamboni itendlea kuwepo na mahaba hayaWoiiiiiiii mapenzi ni upofu jamaan chongo utaita kengeza
Leo jumapili, jana mji ulikuwa busy sana, maana na Bella alikuwa Moshi hiyo janaShemela shululu mizengwe time sijui upo live band
YOSHUA 1
8.Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako,bali yatafakari maneno yake mchana na usiku,upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo ,maana ndipo utakapofanikisha njia yako,kisha ndipo utakapostawi sana.
Muwe na usiku mwema![]()

Safari ya kg sasaTuko pamoja aunt , na kama unamkwaza anko wangu wala usisumbuke unamjua. Dadaake ambaye ni mama yangu alimpaga ng'ombe hizi, tatu, si hakuridhika akataka apewe zizi zima
Nimeshaweka shemelaWeka na neno kabisa
....nami nitawafanya watu Wa mataifa kuwa wana
![]()
tutaenda tu kidogo kidogo nitakuambukiza mambo ya kimungumungu na utaachana na umataifa
Usisahau kumpikia babu yako kahawa... Baridi nyingiMie kila siku nimechangamka babu