Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante mpendwa kwa song matata kabisaa

Ila hapo kwenye hivyo"ewe mtuliza bahri" aisee umenikumbusha sana
Hebu ngoja niuimbe katka roho na kweli huku nikimtafakari bwana mungu kW matendo yake makubwa anayonitendea

Ewe mtuliza bahari eeeee........
Ewe mtuliza bahari tuliza maishax2
Maisha ya maneno maneno tuliza babaa
Maisha ya kuoneana tuliza baabaa
Maisha ya kusema semana tuliz baabaa
Maisha ya vijembe ya vijembe shoka tuliza baabaa aaa....


Ooo hallelujah


Khaa a, hata hili songi nalo unalijua

Hivi mimi na wewe tutaendana kweli? Yaani unajua mambo ya kimungumungu wakati mimi ni mtu wa mataifa.
(Msifanye nikatalikiwa)
Anyway moyoni najua tunaendana kama sumaku , una mvuto unanivutia
 
Asante mpendwa kwa song matata kabisaa

Ila hapo kwenye hivyo"ewe mtuliza bahri" aisee umenikumbusha sana
Hebu ngoja niuimbe katka roho na kweli huku nikimtafakari bwana mungu kW matendo yake makubwa anayonitendea

Ewe mtuliza bahari eeeee........
Ewe mtuliza bahari tuliza maishax2
Maisha ya maneno maneno tuliza babaa
Maisha ya kuoneana tuliza baabaa
Maisha ya kusema semana tuliz baabaa
Maisha ya vijembe ya vijembe shoka tuliza baabaa aaa....


Ooo hallelujah
Ameeeen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom