Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Apigwe na nani tena mke mweeSawa ukipigwa tutakao hangaika kuamulia ni sisi ndo nauliza
Apigwe na nani tena mke mweeSawa ukipigwa tutakao hangaika kuamulia ni sisi ndo nauliza
Sawa shemelaYawezekana kamfata mkongo
Huyo ndo binamu na hapo hajaweka kiroba
Bado yupo kwenye mgomoMama mchuchu ndo umegomeshaaa .??
Jioni ya Gospel:Chain Breaker
Karibu Kapuku mheshimiwa katika muziki wa gospel, huu ni muziki kwa wote Makapuku bila kujali unaamini au kuabudu katika madhehebu yapi. Muziki hutuleta pamoja na kwa kuwa sisi hapa jukwaani hatuna gogoro na imani ya kila mmoja, tunaheshimiana basi muziki usilibe (cementing) heshima tuliyojijengea
Leo tumekosa neno Shunie sijue kenda wapi ila sio ishu, naamini utaburudika. Anaitwa Zach Williams toka US akiimba Chain Breaker, unakumbuka wimbo 'ewe mtuliza bhari eeeh'..
Nimemsikiliza jamaanShunie wa moyo shusho leo umemsikilizaa ???

Afandee upooo karibuMambo vip afande..??
cc husna muba
Ni kweliHivi siliasii ni sababu ya signature
Nitumie namba zake plzBado yupo kwenye mgomo
Amesema akipata mtu wa kumtolea atarudiMm ndo nmeckia hvo na cku ile alilalamika kweli hapa mwenye mawasiliano naye aongee naye arudi
Kupatwa kwa mpendwaaAsante mpendwa kwa song matata kabisaa
Ila hapo kwenye hivyo"ewe mtuliza bahri" aisee umenikumbusha sana
Hebu ngoja niuimbe katka roho na kweli huku nikimtafakari bwana mungu kW matendo yake makubwa anayonitendea
Ewe mtuliza bahari eeeee........
Ewe mtuliza bahari tuliza maishax2
Maisha ya maneno maneno tuliza babaa
Maisha ya kuoneana tuliza baabaa
Maisha ya kusema semana tuliz baabaa
Maisha ya vijembe ya vijembe shoka tuliza baabaa aaa....
Ooo hallelujah
Na mimiNimemsikiliza jamaan![]()
Ni kweli halaf yule ni mama jamaan ni mtu mzima sanaMlizidisha
Na binamuApigwe na nani tena mke mwee
Chochote tuHa hahahahaah, hii mipango haramu ya mjomba wangu umeijuaje, mimi nilisema kwa kunong'ona ili Tumosa asisikie.
Husna, unataka nikuambie nini?

Kweli kabisa mpendwa wa binamu kumbe ulionaMlitania sana na akasema ukweli wake kwamba yy hawezi kuitoa mpaka waje watoto wamtolee
Bado tu watu wakawa wanaendelea tu
Ndio akaona anyuti ili asiwakele