Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
MmmhMimi nimeona toka asubuhi una mzukkka...
You just go but don't come back..
LipooooJukwaa letu lipo
Kwani mlikuwa hamjuani jamaanDp niwewe?
cc husna muba

Na uongo ni dhambiMhhhhhhmhhhhh shemeji ujue leo jumapili
Jioni ya Gospel:Chain Breaker
Karibu Kapuku mheshimiwa katika muziki wa gospel, huu ni muziki kwa wote Makapuku bila kujali unaamini au kuabudu katika madhehebu yapi. Muziki hutuleta pamoja na kwa kuwa sisi hapa jukwaani hatuna gogoro na imani ya kila mmoja, tunaheshimiana basi muziki usilibe (cementing) heshima tuliyojijengea
Leo tumekosa neno Shunie sijue kenda wapi ila sio ishu, naamini utaburudika. Anaitwa Zach Williams toka US akiimba Chain Breaker, unakumbuka wimbo 'ewe mtuliza bhari eeeh'..

Kama nakuonaaKwani mlikuwa hamjuani jamaan![]()
Mbona mapema mkuu?Usiku mwema wakuu
Tumelikoroga hapa nusu tupigwe
Na hipo siku mtakongotwaa na mmeoTumelikoroga hapa nusu tupigwe
....ha ahahhahahaha, si ndo usiku husumbuki kujua majira.
Mpenzi wangu unapenda saa nikununulie?

Mke mwee we ni mchochezi kama mumeoNzuri naona umemkumbuka zilipendwa wako