Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tatizo ni kuwa ukifanya ya kuchanganya namba huwa unanisingizia mimi eti sijui hesabu, hata kama nilipataga Z kwenye math lakini X niliiona bila kificho.

Sasa inabidi utumie mbinu mbadala, shululu leo si hayupo kwake, msingizie kuwa ni yeye ndo anahusika
We sawa ...sema na wewe ipo siku yako kama zako na ntajifanya sijui kusisoma wala kuzielewaa....ila mmoja nimemfanya subject alafu yule wa juu cheusi nkamsolve ...kumalizana na wa kona ndo ikala kwangu ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom