Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mlitania sana na akasema ukweli wake kwamba yy hawezi kuitoa mpaka waje watoto wamtolee
Bado tu watu wakawa wanaendelea tu
Ndio akaona anyuti ili asiwakele
Mlitania sana na akasema ukweli wake kwamba yy hawezi kuitoa mpaka waje watoto wamtolee
Basi burudaniNiko poa hope na kapuku wenzangu wako poa
Mimi nilitania kidogo ata kabla hajaingiaa ...nikapotezeaaMlitania sana na akasema ukweli wake kwamba yy hawezi kuitoa mpaka waje watoto wamtolee
Bado tu watu wakawa wanaendelea tu
Ndio akaona anyuti ili asiwakele
Hilo ndo familiaa letu pendwaaBasi burudani
Ndio mumrudishe mama Wa watu mmuombe radhiMimi hata sikuweka upuuzi wangu ....nilikuwa nawaona nilishtuka mapema
Mpendwa njoo ujibu hapaBinamu kwani anawezaa ??
Ndo hvoMimi hata sikuweka upuuzi wangu ....nilikuwa nawaona nilishtuka mapema
MmmhMuwe na usiku mwema..
See you tomorrow guys!!!
Mimi nilitania kidogo ata kabla hajaingiaa ...nikapotezeaa
Mama mchuchu ukujeee au kamfata mkongo wake

Mimi nilitania kidogo ata kabla hajaingiaa ...nikapotezeaa
Mama mchuchu ukujeee au kamfata mkongo wake
hayo ya mukongo sijuiii






Ucpokuwa ngangari mnaweza uziwa kesi![]()
![]()
baby wako anasingiziwa hapo
Jioni ya Gospel:Chain Breaker
Karibu Kapuku mheshimiwa katika muziki wa gospel, huu ni muziki kwa wote Makapuku bila kujali unaamini au kuabudu katika madhehebu yapi. Muziki hutuleta pamoja na kwa kuwa sisi hapa jukwaani hatuna gogoro na imani ya kila mmoja, tunaheshimiana basi muziki usilibe (cementing) heshima tuliyojijengea
Leo tumekosa neno Shunie sijue kenda wapi ila sio ishu, naamini utaburudika. Anaitwa Zach Williams toka US akiimba Chain Breaker, unakumbuka wimbo 'ewe mtuliza bhari eeeh'..
Hivi nimesema naniii??Mpendwa njoo ujibu hapa
Binamuuu yangu mie apaa...samahani shangazi niko kanisani, hili neno nimeligeuzageuza, 'ko' nimeiweka mwisho
Jamani hajazoea utaniiNdio mumrudishe mama Wa watu mmuombe radhi