Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1979 - Rais wa Iraq, Ahmed Hassan Al- Bakr anajiuzulu na nafasi yake inachukuliwa na Saddam Hussein.
72c769c83982feb4bcf3bd0cee032444.jpg
6287b8c5a5454821085fe125356feb8c.jpg
b7cea457c0ae1224ab7117fed5dd2cc5.jpg

Ndiye rais wa kwanza wa Irak
Aliingia madarakani July 1968 baada ya kuuondoa utawala wa kifalme uliosimikwa na King Faisal I kuanzia mwanzoni nwa miaka ya 1920(nilieleza juzijuzi)
Alifariki dunia Oktoba 4 1982
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom