Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Zamani mtu anatembea kilometer 5 kwenda shule na anafauru vizuri tu, sasa hivi wanabebwa kwenye mabus, ukiwauliza kusini ni wapi utakavyojibiwa utachoka

Zamani mtu anatembea kilometer 5 kwenda shule na anafauru vizuri tu, sasa hivi wanabebwa kwenye mabus, ukiwauliza kusini ni wapi utakavyojibiwa utachoka

...and seeYaaaah lets wait
Leo katika Historia
1979 - Rais wa Iraq, Ahmed Hassan Al- Bakr anajiuzulu na nafasi yake inachukuliwa na Saddam Hussein.
KaribuSenior kapuku
Post sent using JamiiForums mobile app
Wa mjini wote![]()
![]()
![]()
![]()
Unamaanisha wa wapi au wale wa Dar
Morning
Leo nimeamka late ila asante sana kwa magazeti japo bado sijafanikiwa kuyasoma

Vizuri sana shemejiNiko Poa kabisaa
Leo katika Historia
1981 - Mahathir Mohamad anakuwa Waziri Mkuu wa nne wa Malaysia.
For what ?Senior kapuku
Post sent using JamiiForums mobile app
Leo katika Historia
1991 - Ukraine yapata Uhuru wake.
We are EqualSenior kapuku
Post sent using JamiiForums mobile app
Hataki. Toto tukutu hiliAlime mapalachichi
Sura yake imekaa kihindi![]()
![]()
![]()
Na akakaa madarakani hadi mwaka 2003 na hivyo kuweka rekodi ya Waziri mkuu aliyekaa madarakani muda mrefu
......
Huu sasa uchocheziZamani mtu anatembea kilometer 5 kwenda shule na anafauru vizuri tu, sasa hivi wanabebwa kwenye mabus, ukiwauliza kusini ni wapi utakavyojibiwa utachoka
Mambo?Hataki. Toto tukutu hili
Kama uko poa am glad. Ni vile sijakuzoea ati. Sorry kwa kutafsiri vibaya. Peace!!Hahaaaa U ca't trap my AAtitude my Dear, Real am not seriious ..
Sipo hivyo na ninajua ni utani mamaaa hujanizoea tu au umetafsiri vibaya..