Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Sasa itabidi tukae pembeni ya TV na kapu la kuhifadhia magoliNasikia kichwa cha mwendawazimu kinacheza huko Kirumba
![]()
![]()
![]()
......
Sasa itabidi tukae pembeni ya TV na kapu la kuhifadhia magoliNasikia kichwa cha mwendawazimu kinacheza huko Kirumba
![]()
![]()
![]()
......
Tumsubirie mbududa kwa kweliNimekutana na screenshot kwakweli nimemwambia jaman anatuvuruga
Ngojaa ajee atanikomaaaHaki ya Lee
Ndani ya hiyo nuru eti kuna uzima ukiingia kwangu kuna uzimaKuna ile ....amenifanya ning'aree ×2 Yesu ....
Yeye aitwa nuru ...nuru ya uzima
Thats how it is ankali
Mbududa ndio kila kitu siku zake mbili tu anamaliza mzigoTumsubirie mbududa kwa kweli
SawaSijui binamu aliongelea nn make nishamformat kichwa kwa kwenziii
Ahahhaha nani atavaa sasaTuna copy yakeee
Amina ...barikiwaa
barikiwa na wewe pia
![]()
![]()
![]()
hurumia mbavu zangu mke mweee,wang'ae kama yange yange tena wakakae viti vya mbele kabisa







Mimi sasa ....kuna ile sasaNdani ya hiyo nuru eti kuna uzima ukiingia kwangu kuna uzima
Nuru ya injili utukufu wa kikristo umeingia kwangu ninangara
Aisee huyu dada nampenda sana
Gt uThats how it is ankali
Azam wanazingua nimelipia tangu saa 5 asubuhi ila bado kimya tuSasa itabidi tukae pembeni ya TV na kapu la kuhifadhia magoli
SawaNdiooo binamu ananiletee balaaa
Wewe apoooo kiguu na njia mpaka kigamboninoooAhahhaha nani atavaa sasa