Makapuku Forum

Makapuku Forum

0f8c9fcfcca04bbda58e0f70f4a91f4c.jpg

Silaha hatari hii ya kuweka tu begani nimewahi kuielezea miongoni mwa silaha kumi noma duniani
......
 
Ndani ya hiyo nuru eti kuna uzima ukiingia kwangu kuna uzima

Nuru ya injili utukufu wa kikristo umeingia kwangu ninangara

Aisee huyu dada nampenda sana
Mimi sasa ....kuna ile sasa

Thamani ya wokovu wangu amayejua ni mwokozi wangu ....

Thamani ya maisha yangu anayejua ni Muumba ....

Nikisema nimeokoka mbona hamunielewiii....
 
Kikosi cha Taifa Stars kitakachoanza dhidi ya Rwanda Leo
1:Aishi Manula
2:Shomari Kapombe
3:Gadiel Michael
4:Nurdin Chona
5:Salim Mbonde
6:Erasto Nyoni
7:Simon Msuva
8:Himid Mao
9:John Bocco
10:Mzamiru Yassin
11:Shiza Kichuya.

Wachezaji wa Akiba ni.
1:Said Mohammed Ndunda
2:Salim Hoza
3: Boniface Maganga
4:Hamim Abdul
5:Rafael Daud
6:Joseph Mahundi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom