Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Hii hali kuna kitu kina changia sio bureIla we kwa kuchapia huna mpinzani bara wala visiwani aisee
Hii hali kuna kitu kina changia sio bureIla we kwa kuchapia huna mpinzani bara wala visiwani aisee
Kweli kabisa chai ya mashaka mchana hujui itakuaji hupati ubunifu mpya apoMtu mwenye njaa mbwembwe atoe wapi hata kuongea tu ni kwa hasira
....
Kweli umeiva shemelaNgoja nikusimulie habari ya kijana mmoja kijana mtanashati mpole kipenzi cha wengi anazo sifa nyingi lakini kuu kwake ni upendo
Siku moja alikutana na mwanamke msamalia kisimani kijana kamuomba maji mwanamke nae kamuuliza tangu lini wayahudi na wasamalia tukashikama
Kijana akamwambia ungejua me ni maji yaliyo hai ungekuja kwangu unywe maji ili usiwe na kiu tena
Mimi aliniona nilivyokuwa nimechoka nimechakaa kijana kanipenda kanichukua kanitengeneza
Thamani ya wokovu wangu anayejua ni Mwokozi wangu
Daah Baba D nampenda huyu dada atanifanya niokoke aisee kwa nyimbo zake
Thanks bitozEnd![]()
.......
Ni kitu gani hicho??Hii hali kuna kitu kina changia sio bure
Chiziiiii wewe ....Ngoja nikusimulie habari ya kijana mmoja kijana mtanashati mpole kipenzi cha wengi anazo sifa nyingi lakini kuu kwake ni upendo
Siku moja alikutana na mwanamke msamalia kisimani kijana kamuomba maji mwanamke nae kamuuliza tangu lini wayahudi na wasamalia tukashikama
Kijana akamwambia ungejua me ni maji yaliyo hai ungekuja kwangu unywe maji ili usiwe na kiu tena
Mimi aliniona nilivyokuwa nimechoka nimechakaa kijana kanipenda kanichukua kanitengeneza
Thamani ya wokovu wangu anayejua ni Mwokozi wangu
Daah Baba D nampenda huyu dada atanifanya niokoke aisee kwa nyimbo zake
AsanteEnd![]()
.......
Siku ileeMie naangalia marudio itv ya michezo ya kiswahili sijui chochote

Sare ulipendekezaa wewesivaii
NdagaHaya kaka shukrani
Kuwa mzalendoHapana sihangaiki kuwaangalia hao taifa stars hamna chochote kwakweli
Mbona kifurushii cha mambo ni kama cha azamu ...19500...channel kibao na now wameweka superspot 4..7...8...9...na 10 ...Nategemea ufugaji wa bata
Simudu mambo ya USD
![]()
![]()
![]()
....
Na wafungweee leooHapana sihangaiki kuwaangalia hao taifa stars hamna chochote kwakweli
Asante dadaAhahha pole tena kaka
NimemuivishaaaKweli umeiva shemela