Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Asante Dada ulimkafuKaka huyooo,pole na safari
Asante Dada ulimkafuKaka huyooo,pole na safari
Nipo poa sana shemela nimeambiwa hivi style yangu hamuitaki basi shemela acha niwaacheUko poa lakini shemela wangu wa ukweli
Hii imenishangaza zaidi
Yupo trainingYa kwako hatuyatakiii tunataka ya mama mchuchu
Ni BIKOBaby..mbona natongozwa hivi? Ni mkosi au kismati?
Perege tena ??Nipo sinza wanapokaa perege ndio nilipoandikia mimi
Ulipokosekana nikajua shemeji yupo anaitafuta mtera na nduli IringaAsante Dada ulimkafu
Aliyesema ni mmoja tu, Lakini kwa wingi wetu tunataka uendeleeNipo poa sana shemela nimeambiwa hivi style yangu hamuitaki basi shemela acha niwaache
Ila siaminiiiAiseee
Pole sanaTulikuwa tunakesha kila New Year pale Mabibo kwa Bibi Cheche na Kigogo au Manzese ila siku hizi imekuwa marufuku
What a stupidity ? maisha magumu halafu tusio na uwezo wa kwenda Night Club hawataki tuburudike kitaa
Hata kujinywea viroba imekuwa mwiko na mchana huruhusiwi kunywa pombe
Bangi nayo imefanywa dawa ya kulevya
WTF
![]()
![]()
......
AiseeNi BIKO
Si niliona juzi sijui sinza wanakaa perege sijui wakati mnaongea hapa ulisemaPerege tena ??
Sawa sawaaaAfate taratibu zote sasa
Mda huo kwako badoooKwa nini upinge sasa bada ya kushkuru unaanza kupinga
KweliiiiMama mchungaji anajua malezi
Ndio hivyoIla siaminiii
Asante shemelaAliyesema ni mmoja tu, Lakini kwa wingi wetu tunataka uendelee
ubarikiwe sana nakupenda