Makapuku Forum

Makapuku Forum

0a5284707bd6330c56d874a41b74af73.jpg
Hii imenishangaza zaidi
 
Tulikuwa tunakesha kila New Year pale Mabibo kwa Bibi Cheche na Kigogo au Manzese ila siku hizi imekuwa marufuku
What a stupidity ? maisha magumu halafu tusio na uwezo wa kwenda Night Club hawataki tuburudike kitaa
Hata kujinywea viroba imekuwa mwiko na mchana huruhusiwi kunywa pombe
Bangi nayo imefanywa dawa ya kulevya

WTF


......
Pole sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom