Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ninarudi tena yaani ninakuja kushinda anavyorudi sister P, ujio wangu ni kuwaunga mkono na mguu bila kupewa upaja na wote wanaenda kwenye maombi ya Ijumaa, haijarishi wanafanyia maombi wapi, iwe bar au kanisani au msikitini ilmradi wanatimiza ibaada zao wote tuwaunge mkono.

Ombi la Shunie aunt yangu huyu na Sakayo (huyu kama sio mhenga basi mimi nitajitoa kwenye uhenga- yaani anaijua hata ile nyimbo ya Paka kulia usiku)😀

Christina Shusho wa kwanza, huyu uzao wangu ningekuwa mwanakwaya kwenye kwaya yake



Na huyu ni mwinjilist Munishi, naamini nimesikiliza album zake karibu zote.

 
Ninarudi tena yaani ninakuja kushinda anavyorudi sister P, ujio wangu ni kuwaunga mkono na mguu bila kupewa upaja na wote wanaenda kwenye maombi ya Ijumaa, haijarishi wanafanyia maombi wapi, iwe bar au kanisani au msikitini ilmradi wanatimiza ibaada zao wote tuwaunge mkono.

Ombi la Shunie aunt yangu huyu na Sakayo (huyu kama sio mhenga basi mimi nitajitoa kwenye uhenga- yaani anaijua hata ile nyimbo ya Paka kulia usiku)😀

Christina Shusho wa kwanza, huyu uzao wangu ningekuwa mwanakwaya kwenye kwaya yake



Na huyu ni mwinjilist Munishi, naamini nimesikiliza album zake karibu zote.


Ewaaaa...
 
Ninarudi tena yaani ninakuja kushinda anavyorudi sister P, ujio wangu ni kuwaunga mkono na mguu bila kupewa upaja na wote wanaenda kwenye maombi ya Ijumaa, haijarishi wanafanyia maombi wapi, iwe bar au kanisani au msikitini ilmradi wanatimiza ibaada zao wote tuwaunge mkono.

Ombi la Shunie aunt yangu huyu na Sakayo (huyu kama sio mhenga basi mimi nitajitoa kwenye uhenga- yaani anaijua hata ile nyimbo ya Paka kulia usiku)😀

Christina Shusho wa kwanza, huyu uzao wangu ningekuwa mwanakwaya kwenye kwaya yake



Na huyu ni mwinjilist Munishi, naamini nimesikiliza album zake karibu zote.


Naona ni Bampa to Bamperaa!
 
Ninarudi tena yaani ninakuja kushinda anavyorudi sister P, ujio wangu ni kuwaunga mkono na mguu bila kupewa upaja na wote wanaenda kwenye maombi ya Ijumaa, haijarishi wanafanyia maombi wapi, iwe bar au kanisani au msikitini ilmradi wanatimiza ibaada zao wote tuwaunge mkono.

Ombi la Shunie aunt yangu huyu na Sakayo (huyu kama sio mhenga basi mimi nitajitoa kwenye uhenga- yaani anaijua hata ile nyimbo ya Paka kulia usiku)😀

Christina Shusho wa kwanza, huyu uzao wangu ningekuwa mwanakwaya kwenye kwaya yake



Na huyu ni mwinjilist Munishi, naamini nimesikiliza album zake karibu zote.


Kila kitu kwako napenda
Napenda nikiona ukiniinua, napenda kuona ukinibariki, napenda kuona ukiniponya haleluyaa

Binamu yangu asante sana ubarikiwe sana

Nimependa hapo kwa sakayo tu kama sio muhenga utaandamana
 
1 The Beatles
41d45aab1e783eb59462cf2835012c42.jpg
b2fdbe8959c5c5a54371253fa4134e13.jpg
74b96ef366c03638abad8e96473aba6c.jpg

Ndo waasisi wa neno Bitozi ukipenda Tozy
Ni vijana watanashati wa zama zile hivyo kutokana na mvuto wao vijana wakawaiga na hapo sasa kila mtu akawa Bitozi
Walitamba vilivyo enzi zao na vibao kama Hey Jude ila mimi nasema Hey Husna
Nyimbo nyingine ni Don't Let Me Down na Yesterday
Walitoa albamu matata ambayo inashikilia rekodi ya mauzo hadi leo
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie week end njema
Tukutane Jumatatu
...........
Shukranimdau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom