Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Ninarudi tena yaani ninakuja kushinda anavyorudi sister P, ujio wangu ni kuwaunga mkono na mguu bila kupewa upaja na wote wanaenda kwenye maombi ya Ijumaa, haijarishi wanafanyia maombi wapi, iwe bar au kanisani au msikitini ilmradi wanatimiza ibaada zao wote tuwaunge mkono.
Ombi la Shunie aunt yangu huyu na Sakayo (huyu kama sio mhenga basi mimi nitajitoa kwenye uhenga- yaani anaijua hata ile nyimbo ya Paka kulia usiku)😀
Christina Shusho wa kwanza, huyu uzao wangu ningekuwa mwanakwaya kwenye kwaya yake
Na huyu ni mwinjilist Munishi, naamini nimesikiliza album zake karibu zote.
Ombi la Shunie aunt yangu huyu na Sakayo (huyu kama sio mhenga basi mimi nitajitoa kwenye uhenga- yaani anaijua hata ile nyimbo ya Paka kulia usiku)😀
Christina Shusho wa kwanza, huyu uzao wangu ningekuwa mwanakwaya kwenye kwaya yake
Na huyu ni mwinjilist Munishi, naamini nimesikiliza album zake karibu zote.
