Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Sakayo ni solver"..Haleluyaa mshkuru sana Mungu T
Sakayo ni subordinate..
Sakayo anapenda challenge afu anakuwa positive sana hadi nashangaa.
Huwa ananipa mzuka sana
Sakayo ni solver"..Haleluyaa mshkuru sana Mungu T
Mfalme wa PopIle break dance yake nouma..
Nakumbuka nikiwa olevel jpili tulikuwa na kipindi cha Sunday Concert..
Thats was my favourate dance..!
Shaking like a robot..
Zile zimechanika kwenye magotikamatia chini ndio nini hiyo dada ujue mie muhenga naweza nikawa nimevaa kitu nisijue
Nawapenda Mungu azidi kuwawekaSakayo ni solver"..
Sakayo ni subordinate..
Sakayo anapenda challenge afu anakuwa positive sana hadi nashangaa.
Huwa ananipa mzuka sana
![]()



HahahaNa mie naombeni kuja![]()
nasikia baridiiii kweli
Not to that extent my loveAisee Sakayo ni asset.
Yaaani huyo mtoto ni mali,
Hicho kichwa chake ni kina akili hataree...
Sometimes huwa napiga Goti kwa Mungu na kusema Aksante Bwana kwa kunipa Sakayo.
She thinks and analyse things to an extra mile ...she know how to put things on track.
Hizo ndio zangu ujueZile zimechanika kwenye magoti

umeona sasa nilivyo muhenga navaa kitu sijui zinaitwa hivyoYour my heroine..Asante na pole lovie....
Pamoja na kuifuta bado nimekuwa mwisani....
You're my hero....
Kweli dada T alale nje tuHahaha
Weeee
Hahahaaaa....Woyooooooooo telemka tukaze![]()


AmeeenHaleluyaa mshkuru sana Mungu T
Hahahamimi namalizia hilo neno suuu inakuwa suuusa, yani nakususia habari zako za picha
KUMBUKUMBU.
Pichani ni Sarah Baartman mwanamke kutoka Afrika kusini aliegeuzwa maonesho enzi za utawala wa makaburu. Kutokana na sura na umbo la kibantu alipelekwa Ufaransa na kuwekwa kwenye majumba ya starehe ambako wageni walilipa hela ili wamwangalie akiwa uchi wa mnyama wakimlazimisha atembee ili waone anavyotingisha! Sarah alozaliwa mwaka 1789 alifariki mwaka 1815 akiwa na miaka 26 kutokana na mateso ya kuingiliwa na wanaume wasio na idadi pamoja na muda mwingi kusimama. Baada ya kifo chake alikaushwa na kuhifadhiwa ili aendelee kua kivutio cha utalii. Watetezi wa haki za weusi walikua wanashinikiza Ufaransa iukabidhi mwili huo kwa Afrika kusini ili uzikwe kwa heshima, juhudi zilokujafanikiwa mwaka 2002 chini ya msaada mkubwa wa Nelson Mandela ambapo mwili wa Sarah ulizikwa upya mjini Pretoria kwa heshima zote! .![]()
MmmmhWoyooooooooo telemka tukaze![]()
Mungu ni mwema dada kwa kukupa mwanaume wa pekee kwakoAmeeen
Mwenyewe kuna siku nafunga kabisaa Naomba na kusifu tuu kwa kumpata huyu mwanaume
We sema suuuu...anaweza akatupia mkuu msihi abadilishe mawazo kabla aijawa noma
Ahahhahah ndio hapoHahahaaaa....
Wapiii...
Sofa zinafanya nini kwa mfano..![]()
We utaniteka bhanatutaenda wote kuinunua
AkuuuuMie nimeomba kuja tu jamaan