Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Zaidi ya Afande Sele ?
Ngoja nimsifie maana namzengea Tunda jeshakuwa binti mkubwa
......
tunda ni mtoto Wa star we kachupilo mzungu Wa reli utamuwezea wapi?!
Watu tunanunua ujue tena elf 25 mpaka 35 acha tuMwenyewe Nimesema tuu... Siku naziona nikawauliza wauzaji sa naniii atanunua hizo mlizochana.....
HeeeeKweli dada T alale nje tu
Halleluya...Nawapenda Mungu azidi kuwaweka![]()
HahahaHahahaaaa....
Wapiii...
Sofa zinafanya nini kwa mfano..![]()
AmeeenHalleluya...
Ahsante bwana harusi mtarajiwa hahah
anamuoa nani?Nakupenda sana.Not to that extent my love
La kuongea upate wapi hapo dada anguDaaaaaah
Am speechless....
Hivi kwa nini hukunileta huku mapemaa.... Huenda ningekuwa na ujauzito mwingineMungu ni mwema dada kwa kukupa mwanaume wa pekee kwako
Eeenheeumeanza
HelaaNakuteka ili nichukue hiyo meli au
Hivi kwa nini hukunileta huku mapemaa.... Huenda ningekuwa na ujauzito mwingine



unakumbuka nilikuwa nakwambia mwanzo ukuje ukawa hutakiiKisaa...?Kweli dada T alale nje tu

EwaaaaAu tukaishi mars kabisa..
Woiiiiii na ninavyozipenda sasaHelaa
Ntakutumia blanketsSiji bana nilikuwa natania mie kweli mapenzi yana nguvu
Ni sawa tu nilale mwenyewe kwa bed kwanza sitaki mbananoKisaa...?
Sakayo anaweza akakuacha ndani akanifuta nje..![]()