Makapuku Forum

Leo katika Historia

1960 - Angelique Kidjo. Mwimbaji mashuhuri toka nchini Benin anazaliwa.

Mkuu Obe baadae ukitulia ntaomba ile ngoma yake inayoitwa Agolo (sina hakika na spelling)


Asante kwa hii info kuhusu Kidjo, ni mshindi wa Grammy huyu na anatajwa sana kuwa ni mwanamuziki maarufu zaidi Africa, anaishi US

Nilimuona akiimba Davos kwenye mkutano wa 'likes' kwenye jukwaa la uchumi. Napenda Wombo Lombo leo nitarusha hiyo Agolo.

Yeye na Youssou ni wanamuziki wanaonivutia sana


BTW, 'mkuu' sio mimi (joke) mimi ni mdau, mtaasisi na ili usichoke sana refer me as Obe
 
Hahahahaha basi sawa Obe. Kama hutajali leo tupia zote mbili maana zote nazielewa sana


Dj Obe (in Ximena's voice)
Cant wait
T G I F
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…