Asante na pole Bitoz1/South Africa
List ingeishaje bila Mzulu kuwepo ?
Kwa % ya maambukizi ya VVU duniani anazidiwa na Swaziland na Lesotho pekee ila kwa idadi ya waathirika hakunaga kama Sauzi
Wasauzi wapo takribani 55,000,000 kwa idadi ya watu
Huku watu 5,600,000 wakiwa na ngoma yaani tusemetu 10%
Sasa wewe nenda na kiherehere chako kadate na Mzulu ......utajiju !!!
.
.
.
.
.
.
Baadaye kidogo wadau
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
ako ako kaGIFPole
Halafu sio ka nyimbo ujue...
Labda walikuwa na matatizo. Juzi juzi cousin yangu alienda kujifungua (private hosp) uchungu ulimuuma hadi akawa analazimisha mumewe asaini ili wampasue ila wakagoma kwavile hakuwa na matatizo na alijifungua kawaida tu siku moja baadaeYaani nina evidence..
Kuna rafiki zangu 3 wemepeleka wake zao private wote wamekula kisu..
2 walienda govt wamejifungua kawaida? Then nikaaza kusikia hizi rumours
Hawa sikuwategemea3/India
Ndio nchi ya pili kwa wingi wa watu duniani na muda si mrefu watawapiku Wachina
Tayari Wahindi washafikia 1,350,000(billion 1 milioni 300+) na spidi yao ya kuzaliana ni km panya na Wachina washafungwa spidi Havana
Waathirika wa UKIMWI wanafikia 2,500,000
.........
Asante ObeMuziki: Jumatano ya Majoka
Ni siku nzuri kabisa kwa kila mmoja hapa (hata kama ni mbaya mimi najiaminisha tu kuwa umekuwa na siku nzuri), kwani uongo jamani, si wote ni mashuhuda hapa KF kumechangamka utasema mtindi uliotiwa ndimu. Vitu vingine havijaribiwi, na kwa kuwwa wewe u sehemu ya makapuku basi Jukwaa hili ni sehemu bora kabisa kuwepo. Mimi nipo, wewe pia, na yule asiyekuwepo bado akija hatokosa kitu.
Ni furaha kuonana kila mmoja akiwa amechangamka, kuna vingi vinavyochangamsha na ukichangamshwa vinachangamka na vingine vinasisimka. Unajua nini, uchangamfu ni jambo zuri kwa sehemu yake na inapotokea unachangamka kupitiliza basi wengine watachangamka kupita kiasi. Asante sana kwa mzeewakungoa kwa kulichangamsha Jukwaa leo, you rock! Kile sijui ni kilugha gani me nikaishia maneno utamu na sikukunda, anyway.
Muziki sasa, mnajua pale mwanzo nilitaka kutunuku wimbo kwa husna muba , huyu ni mtu muhimu kwangu, ikiwa hujui jua hilo. Baadaye nikapata ombi la Sakayo ambalo namshukuru sana Transcend kwa kutupia wimbo wa Z-Anto kijana wa Kigamboni. Well, nimetafakari nikagundua kutokana na kibaridi hiki wengine kuoga mtihani, ni mwemndo wa pasport tu. Sasa husna muba nitamtunuku wimbo siku kila mmoja akiwa ameoga mwili mzima.
Kujiandaa na kuoga mwili mzima lazima uchangamke na ninakuchangamsha kwa chaguo la anko wangu lee empire akiungana na pedeshee mwenzake Koffi Olomide, Mopao muzee ya batoto anahgawa cheni za gold wewe gawa shanga zifuliwe kwa foma gold.
Nakupenda Kapuku mwenzangu na unalijua hilo. Burudika
NB: Nawashukuru wote ambao mnakuwa na nafasi ya kupendekeza wimbo, heshima kwenu sana
Shukrani sana kwa 10 kubwa1/South Africa
List ingeishaje bila Mzulu kuwepo ?
Kwa % ya maambukizi ya VVU duniani anazidiwa na Swaziland na Lesotho pekee ila kwa idadi ya waathirika hakunaga kama Sauzi
Wasauzi wapo takribani 55,000,000 kwa idadi ya watu
Huku watu 5,600,000 wakiwa na ngoma yaani tusemetu 10%
Sasa wewe nenda na kiherehere chako kadate na Mzulu ......utajiju !!!
.
.
.
.
.
.
Baadaye kidogo wadau
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Hicho kipengele huwa sikipendiiii cha siku kuanza ghafla wakati inajulikana siku uanza mapema alfajirii ...
Ila navokujua ulibisha kama siku imeanza au imeishaa
Muziki: Jumatano ya Majoka
Ni siku nzuri kabisa kwa kila mmoja hapa (hata kama ni mbaya mimi najiaminisha tu kuwa umekuwa na siku nzuri), kwani uongo jamani, si wote ni mashuhuda hapa KF kumechangamka utasema mtindi uliotiwa ndimu. Vitu vingine havijaribiwi, na kwa kuwwa wewe u sehemu ya makapuku basi Jukwaa hili ni sehemu bora kabisa kuwepo. Mimi nipo, wewe pia, na yule asiyekuwepo bado akija hatokosa kitu.
Ni furaha kuonana kila mmoja akiwa amechangamka, kuna vingi vinavyochangamsha na ukichangamshwa vinachangamka na vingine vinasisimka. Unajua nini, uchangamfu ni jambo zuri kwa sehemu yake na inapotokea unachangamka kupitiliza basi wengine watachangamka kupita kiasi. Asante sana kwa mzeewakungoa kwa kulichangamsha Jukwaa leo, you rock! Kile sijui ni kilugha gani me nikaishia maneno utamu na sikukunda, anyway.
Muziki sasa, mnajua pale mwanzo nilitaka kutunuku wimbo kwa husna muba , huyu ni mtu muhimu kwangu, ikiwa hujui jua hilo. Baadaye nikapata ombi la Sakayo ambalo namshukuru sana Transcend kwa kutupia wimbo wa Z-Anto kijana wa Kigamboni. Well, nimetafakari nikagundua kutokana na kibaridi hiki wengine kuoga mtihani, ni mwemndo wa pasport tu. Sasa husna muba nitamtunuku wimbo siku kila mmoja akiwa ameoga mwili mzima.
Kujiandaa na kuoga mwili mzima lazima uchangamke na ninakuchangamsha kwa chaguo la anko wangu lee empire akiungana na pedeshee mwenzake Koffi Olomide, Mopao muzee ya batoto anahgawa cheni za gold wewe gawa shanga zifuliwe kwa foma gold.
Nakupenda Kapuku mwenzangu na unalijua hilo. Burudika
NB: Nawashukuru wote ambao mnakuwa na nafasi ya kupendekeza wimbo, heshima kwenu sana
Nimeona tu wasambaa wana sifiwa kwa mambo yao ila ukweli ni kuwa mi kule siwezi kuoa mkeHahaha
Wasambaa bhana.... Wapiii Mndali atupe mrejesho wa Safari ya Tanga
Aah dada siwapondi ila ukweli huwa nawambia tu maana ukisema uongo utakuwa unajitwisha mzigo usio weza kubebamndali kwa kuponda ngoja aje kuua
Nimekuja sakayoHahaha
Namsubiri Aisee
Nakumumbuka siku ile ulivyokuwa unaleft..Mmmmh
Kutongozwa hadharani ni shughuli pevu kwa sie waoga
Nakujuaa na hukumuacha salamaNilibisha kishenzi tukaangalia saa ikaonekana ni saa moja usiku bado akadai ile ni siku yake, kumaliza ubishi tukaangalia kalenda, kweli bhana kalenda ikamaliza ubishi, ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa, hepibesdei tuyu. Tukaendelea kula na kunywa
What?T ukuje hapa
Dada tuliza mshono..Nawe tuliza bilinganya hizo