Makapuku Forum

Makapuku Forum

23bcf6f99c20eb87a02ef956f48384ce.jpg
12b611c7bfca36f458f7375b0499a1fa.jpg
3c9ddeec630028e74c5c30dc82933b34.jpg
Kibonge huyu ana kipaji ila ni bingwa wa kutumia
Asingekuwa mwingereza angeshauzwa
.
.
.
Tukutane baadaye wadau
Niwatakie mchana mwema
........
Shukrani mkuu
 
WAGALATIA 5

22.Lakini tunda la Roho ni Upendo,Furaha,Amani,Uvumilivu,Utu wema,Fadhili,Uaminifu.

23.Upole ,Kiasi;juu ya mambo kama haya hakuna sheria

BABA Asante kutufukisha mchana huu salama ,tunakushukuru kwa kuwa wewe ni mwema hujawahi kutuacha ,msaada wako uko nasi kila iitwapo leo.

Asante kwaneno lako ambalo ni chakula cha roho mchana wa leo.

Tunaomba nyoosha mkono wako uwe nasi siku nzima.

Bariki kila mmoja apate riziki sawa na mapenzi yako.

Tutulize hofu na mashaka yoyote tuliyo nayo ,endelea kutupigania.

Tuimarishe tuliishi tunda la ROHO.

Katika jina la YESU...Amen.


MCHANA MWEMA WAPENDWA

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
WAGALATIA 5

22.Lakini tunda la Roho ni Upendo,Furaha,Amani,Uvumilivu,Utu wema,Fadhili,Uaminifu.

23.Upole ,Kiasi;juu ya mambo kama haya hakuna sheria

BABA Asante kutufukisha mchana huu salama ,tunakushukuru kwa kuwa wewe ni mwema hujawahi kutuacha ,msaada wako uko nasi kila iitwapo leo.

Asante kwaneno lako ambalo ni chakula cha roho mchana wa leo.

Tunaomba nyoosha mkono wako uwe nasi siku nzima.

Bariki kila mmoja apate riziki sawa na mapenzi yako.

Tutulize hofu na mashaka yoyote tuliyo nayo ,endelea kutupigania.

Tuimarishe tuliishi tunda la ROHO.

Katika jina la YESU...Amen.


MCHANA MWEMA WAPENDWA

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Asante mamy

Nimekumiss ujue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom