Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,488
AiseeeeAhahahhh babu ananifurahisha sana sijui ndio kutaniana na mjukuu mzeewakungoa leo naona ameamka na mimi
AiseeeeAhahahhh babu ananifurahisha sana sijui ndio kutaniana na mjukuu mzeewakungoa leo naona ameamka na mimi
Nipo na Manga [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwenye ule uzi naona umetukimbia kaniambia anaumwa sijui nini nimemuuliza hajarudi
Me naelewa ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shemela kama nakuona unacheka sana kama unaelewa
Mie naona nitakuwa wa kwanza mke mwee halaf kule season 6 imeshaisha kwa lege mambo ni motoooNaandika majina ya wapiga kelele
Ndio jamaan Jimena usimfanyie hivyo kaka yetuKwani washakuwa mawifi zangu??
Ahahahh[emoji3] [emoji3] [emoji3] yangeyange
Asante Bitoz kwa picha![]()
Kibonge huyu ana kipaji ila ni bingwa wa kutumia![]()
Asingekuwa mwingereza angeshauzwa
.
.
.
Tukutane baadaye wadau
Niwatakie mchana mwema
........
OoohNipo na Manga [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwenye ule uzi naona umetukimbia kaniambia anaumwa sijui nini nimemuuliza hajarudi
Sawa cuzoo nimefurahi sana kumbe watu tunatoka njia mojaNdio na kuanzia sasa we utakuwa binamu yangu (cuzzo)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Dada acha tu ya leo kaliAiseeee
Najua ila unakufa na tai shingoni [emoji3]Me naelewa ujue
Sawa dadaOooh
Niko job ujue.... Naibia tuu
Hiyo inaitwa akili ya bangi maana unikiwa umetumia bangi huwezi kufanya mambo yako kwa usahihiImenichekesha tu mtu aliyebebwa mti wenyewe mfupi
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Huu ubabu vipiii lakini kutoka kaka mpaka sasa unataka nikuite babu jaman
Sawa dada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ongea tu kaka jamaan
Ndio. Usikute ndugu[emoji3][emoji3][emoji3]Sawa cuzoo nimefurahi sana kumbe watu tunatoka njia moja
[emoji109] [emoji109] [emoji109]Pamoja mkuu
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109][emoji109] [emoji109] [emoji109]
[emoji122]Naamini asemayo
Kwani kulikoni shemWe bado unamtafutaga tu huyo demi[emoji134] [emoji134] [emoji134]