Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
AiseeeeAhahahhh babu ananifurahisha sana sijui ndio kutaniana na mjukuu mzeewakungoa leo naona ameamka na mimi
AiseeeeAhahahhh babu ananifurahisha sana sijui ndio kutaniana na mjukuu mzeewakungoa leo naona ameamka na mimi
Nipo na Manga



kwenye ule uzi naona umetukimbia kaniambia anaumwa sijui nini nimemuuliza hajarudiMe naelewa ujueshemela kama nakuona unacheka sana kama unaelewa
Mie naona nitakuwa wa kwanza mke mwee halaf kule season 6 imeshaisha kwa lege mambo ni motoooNaandika majina ya wapiga kelele
Ndio jamaan Jimena usimfanyie hivyo kaka yetuKwani washakuwa mawifi zangu??
Ahahahh![]()
![]()
yangeyange
Asante Bitoz kwa picha![]()
Kibonge huyu ana kipaji ila ni bingwa wa kutumia![]()
Asingekuwa mwingereza angeshauzwa
.
.
.
Tukutane baadaye wadau
Niwatakie mchana mwema
........
OoohNipo na Mangakwenye ule uzi naona umetukimbia kaniambia anaumwa sijui nini nimemuuliza hajarudi
Sawa cuzoo nimefurahi sana kumbe watu tunatoka njia mojaNdio na kuanzia sasa we utakuwa binamu yangu (cuzzo)
Najua ila unakufa na tai shingoniMe naelewa ujue

Sawa dadaOooh
Niko job ujue.... Naibia tuu
Hiyo inaitwa akili ya bangi maana unikiwa umetumia bangi huwezi kufanya mambo yako kwa usahihiImenichekesha tu mtu aliyebebwa mti wenyewe mfupi
Huu ubabu vipiii lakini kutoka kaka mpaka sasa unataka nikuite babu jaman

Sawa dadaongea tu kaka jamaan
Ndio. Usikute nduguSawa cuzoo nimefurahi sana kumbe watu tunatoka njia moja



Naamini asemayo

Kwani kulikoni shemWe bado unamtafutaga tu huyo demi![]()
![]()
![]()