Makapuku Forum

Makapuku Forum

WAGALATIA 5

22.Lakini tunda la Roho ni Upendo,Furaha,Amani,Uvumilivu,Utu wema,Fadhili,Uaminifu.

23.Upole ,Kiasi;juu ya mambo kama haya hakuna sheria

BABA Asante kutufukisha mchana huu salama ,tunakushukuru kwa kuwa wewe ni mwema hujawahi kutuacha ,msaada wako uko nasi kila iitwapo leo.

Asante kwaneno lako ambalo ni chakula cha roho mchana wa leo.

Tunaomba nyoosha mkono wako uwe nasi siku nzima.

Bariki kila mmoja apate riziki sawa na mapenzi yako.

Tutulize hofu na mashaka yoyote tuliyo nayo ,endelea kutupigania.

Tuimarishe tuliishi tunda la ROHO.

Katika jina la YESU...Amen.


MCHANA MWEMA WAPENDWA

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Asante Mama tumekumiss ujue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom