Makapuku Forum

Naunga mkono hili wazo
Ni zuri sana
 
Mengine ndio nayajua leo kuhusu yeye bro..Tuko pamoja daima sidhan kama nitatoka humu, hata nikitoka labda nibadili lazm nirudi humu.
Humu ndio nimekulia toka bado mgeni hata mwez sijatimiza na pamenikutanusha na watu wengi ambao nawachukulia kama ndugu zangu na ninaweza shea nao kitu chochote bila kuogopa..

Long live Kf
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…