Makapuku Forum

Atubariki sote
 
😎 Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ambae yuko London kwa ajili ya matibabu, amefanya mkutano wake wa kwanza na anaekaimu nafasi hiyo kwa miezi miwili sasa.

😎 Mashindano ya riadha ya dunia ya IAAF kwa vijana wasiozidi umri wa miaka 18 yanaanza hii leo jiji Nairobi Kenya

😎 Nchini Rwanda kuna mradi wa kutengeneza sodo zinazopatikana kwa bei chee ambazo hutengenezwa kwa nyuzi zitokanazo na mabaki ya migomba.

😎 Malaria bado ni changamoto katika nchi nyingi barani Afrika, huko nchini Tanzania kwa mujibu wa wizara ya Afya takribani watu milioni 18 huugua ugonjwa wa malaria kila mwaka. Katika kupambana na ugonjwa huo shirika la Afya la ifakara wamebuni mbinu mpya ikiwemo utengenezaji wa viatu vyenye kinga ya mbu hususani wakati wa mchana.

😎 kuna taarifa ya uwepo wa kampuni moja inayotengeneza viatu vya kwanza vya riadha kubuniwa nchini Kenya..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…