Makapuku Forum

Good
 
Tatizo la hizo gari mwaka mmoja tu kwisha
 
Sasa wanaleta benki

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
1/Wal--Mart Stores Inc
Wamiliki ni Wamarekani
Ndiyo kampuni iliyoajiri watu wengi zaidi duniani.......Kwa Marekani imeiacha mbali McDonalds Kwa wingi wa wafanyakazi au pengine na kimapato
Inajihusisha zaidi na uuzaji wa bidhaa za rejareja(retail trade}
Hawa jamaa ndio wamiliki wa Walmart,Sam's Club na biashara kibao
Kwa mwaka huingiza takribani USD 480 Bilioni
Imeajiri zaidi ya watu 2,200,000
.
.
.
.
.
Shukrani Kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…