Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
DiktetaNdiooo
Mbona uzi umepoa hivyo
ana majukumu ya kikaziMimi
Tangu J3 sipo vizuri kiafya ndo maana kumi kubwa siandiki pia kuna mambo yamebanaTrancescend
kasema wazi kazi zimembanaLee
vitu vyake vipo pale paleObe
Muziki upo km kawaShululu
kila siku magazeti yapoJimena
Kaziba pengo la Dikteta japo siyo sanaShumie
kuna majukumu yamembanaKina Bailly, Husna Tumosa,Mama Mchungaji,Nyagei n.k mbona wapo mara mojamoja km kawaida yao
Ila pia akina Yuda hawajakosekana .....ndo hapo usemi wa pats shida umjue rafiki yako
Tukubali uzi upo kwenye kipindi kigumu na hii siyo mara ya kwanza kumbuka uzi una zaidi ya mwaka kinachofanya uonekana kwamba kumepoa sana ni uwepo wa uzi mwingine ambao unafanana na huu kila kitu yaani copy & paste .....
Hivyo km vile watu wanajisikia kulinganisha au kushindanisha kitu ambacho sisi hatujishughulishi nacho
Tuishi sisi km sisi no matter what
.............

