shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Aisee, mbaya wa Mugabe huyo
KwemaaaaKwema
Haya buanaAcha ajihesabie mwenyewe tu
Duu hiyo bei balaaaArsenal watakuwa tayari kumuuza Alexis Sanchez kwenda Manchester City ikiwa tu watatoa pauni milioni 80 (Mirror)
Nao wanamuuza bei kubwa mnoWakala wa James Rodriguez amewaambia Liverpool, Manchester United, Inter Milan, Juventus, Manchester City na PSG kuwa wanaweza kumsajili kiungo huyo wa Real Madrid, lakini hakuna kati ya timu hizo iko tayari kutoa euro milioni 75 wanazotaka Real, ambao wanataka kumuuza kutokana na kuwasili kwa Dani Caballos (SPORT).
Tukimpata na bakayoko Epl msimu ujao sis MabingwaBaada ya kuwazidi kete Chelsea katika kumsajili Romelu Lukaku, Manchester United wamemsajili Lomelu Lukakuwanataka kuwapiku tena katika kumsajili kiungo Tiemoue Bakayoko kutoka Monaco, ambao wamekasirishwa na kasi ndogo ya Chelsea kumfuatilia mchezaji huyo. United watamchukua ikiwa watashindwa kumpata Nemanja Matic kutoka Chelsea (The Sun)
Hapana humu ndan usiku kuna ogofyaUlilinda salama?!
Tatizo beiJames Rodrigues anataka kuhakikisha anaondoka Real Madrid katika saa 48 zijazo ili asisafiri na Real Madrid kwenda Marekani katika mechi za kabla ya kuanza kwa msimu (AS)
Salama NyangeiHabarini za mchana Makapuku
Dreams never end by fear
NzuriiiHabari za j2 wapendwa
Real Madrid kawapiku wapinzani waoDani Ceballos, 20, amekubali mkataba wa miaka sita kujiunga na Real Madrid kutoka Real Betis na atakamilisha mkataba wa euro milioni 18. Barcelona walikuwa 'wakimchombeza' mchezaji huyo (Marca).
KukomoanaaDuu hiyo bei balaaa
Hapo sasaMmh! Kibiti hadi mwanza mmmh
Maelezo hayatasaidia kituMeneja Antonio Conte atarejea Chelsea siku ya Jumatatu kutoka likizo na kutaka mazungumzo na klabu hiyo kuhusu kushindwa kumsajili Romelu Lukaku kutoka Everton (Express)
Hii move ya James ni nzuri sana, ngoja tuone mwisho wakeJose Mourinho ameongeza juhudi za majadiliano kutaka kumsajili James Rodriguez, 25, kutoka Real Madrid. Real wanataka pauni milioni 62 (Independent)
Kwani ww ni ObeAmen