Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Ushafumua nywele?Jamaniiii
We si umekataa kunipeleka au
Ushafumua nywele?Jamaniiii
We si umekataa kunipeleka au
Ndiooo, tayariUshafumua nywele?
Nakuja kukuchukua hapo faster..! Stay ready..!Ndiooo, tayari
Nakupendaga hapooo tuu.... Unavyonijali baasiNakuja kukuchukua hapo faster..! Stay ready..!
Ina nakupeleka saloon ya karibu tuu Dear..! Its some how late now..Nakupendaga hapooo tuu.... Unavyonijali baasi
Worry out, popote pale ni sawa tuuIna nakupeleka saloon ya karibu tuu Dear..! Its some how late now..
Lukaku tayariROONEY ASAINI EVERTON
Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney, 31, amejiunga tena na Everton kwa uhamisho wa bure, miaka 13 baada ya kuondoka Goodison Park
Rooney aliichezea Manchester United mechi 559 na kupachika magoli 253.
Kurejea kwa Rooney Everton kumetokea wakati Manchester United wakikaribia kukamilisha usajili wa Romelu Lukaku kwa pauni milioni 75.
Badoo achana na photo shopLukaku tayari![]()
Ushindwe wewe kwenda kumuona taifaROONEY ASAINI EVERTON
Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney, 31, amejiunga tena na Everton kwa uhamisho wa bure, miaka 13 baada ya kuondoka Goodison Park
Rooney aliichezea Manchester United mechi 559 na kupachika magoli 253.
Kurejea kwa Rooney Everton kumetokea wakati Manchester United wakikaribia kukamilisha usajili wa Romelu Lukaku kwa pauni milioni 75.
Ili iwejee mkuuUshindwe wewe kwenda kumuona taifa
Chelsea hampendagi hizi habari..Badoo achana na photo shop
Mmesahau Obi ilikuwaje wakati ashatinga na OTChelsea hampendagi hizi habari..
Hasa za lukaku
Leo Angel Hairs pale kona ya pili..Worry out, popote pale ni sawa tuu
Sitakiiii mie naenda kwa MkongoLeo Angel Hairs pale kona ya pili..
Eeeeh! Ujue nitakurudisha home..!Sitakiiii mie naenda kwa Mkongo
HahahaEeeeh! Ujue nitakurudisha home..!
Kama kwa mkongo naenda kukaa pale pale hata masaa 4 amalize turudi home..