Makapuku Forum

Makapuku Forum

Arsenal wameweka wazi kuwa hawatomuuza Alexis Sanchez au Alex Oxlade- Chamberlain kwenda katika timu yoyote hasimu ya EPL. Sanchez ananyatiwa na Manchester City huku Oxlade-Chamberlain akihusishwa na Liverpool (Daily Star)
 
Newcastle wamekuwa na mazungumzo na Middlesbrough ya kutaka kumsajili winga Adama Traore, 21 ambaye huenda akagharimu hadi pauni milioni 20 (Chronicle).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom