Nimekuamini mpendwa haki ya nani tena...simu yangu jamaa sioni maua kabisa. Wala sifanyi utani, hauniamini hata wewe?
Walaa hajaongea kitu kazuga tuHebu nidokeze nini Tumosa ameongea
MTU na baby wakeBaby
GoodNinatatizwa na internet wadau, sielewi ni nini maana devices zote nazotumia ziko na shida so nimejiamisha ni net provider.
Kila kitu kiko poa
Kwema tuKwema humu?
Zipi hizooo?!Wewe acha hizo
HayaaNi baada ya mwili kuwa dhaifu
Acha ajihesabie mwenyewe tuMndali unamuhesabia siku?
Kumbe nyagei ana mkeNyagei yuko wapi?
Ama leo yuko na mkewe
MmmhSina kamanda
Ulilinda salama?!Me nalinda leo
DuuuRomelu Lukaku.
Yaani USA hawataki upuzi upuzi...
Jamaa anatakiwa Mahakamani nchini marekani mwezi october mwaka huu..
![]()
![]()