Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimeamka salama na niseme asante kwa BlessedHope kwa sala ya asubuhi (afu sijui kwanini nikisali kabla sijala huwa sisinzii kabisa)

Mdau shululu asante sana kwa magazeti.

Mndali ndanyelakakomu tafadhari punguza kifungo ulichojifunga, hii ni asubuhi njema
muache tu kifungo cha kujifunga mwenyewe huwa kinanoga sana
 
Kirat
d4ad9c3bc952cd82a39bee57b2d5c3da.jpg
 
...swezi kukupangia muda wa kuonana naye, hapana. Ila kama kusema usubiri nimalizie safari yangu ya kipekee ndo uende ni kukupangia bora iwe hivyo.

Nyagei alipanga kuja naye kipindi naumwa matokeo yake safari ikapotelea hewani, nimeshajifunza. siangalii cha kaka wala bulaza, wote msubiri hadi mimi nitoke.

Ila sizuii mtu
 
Mimi naamini Siku zote katika ukimfanyia mtu jambo jema hana anachokudai
Hivyo nikipata fursa kuwa na urafiki na mtu/mpenzi huwa naishi nae vizuri Siku akijisikia kunisaliti au kunifanyia jambo baya mfano kunizungumxa vibaya kwa watu huwa napotezea tu ilimradi najua sikumfanyia jambo lolote baya hivyo moyoni huwa sina presha na maisha huendelea huku yeye mpyo utaendelea kumsuta
Pia huwa sinaga bembeleza bembeleza n.k huwa napenda mtu afanye mambo kwa utashi wake mwenyewe
...............
Good
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom