Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
husna muba nawe umekuwa mtu muhimu hapa..keep it up
Pamoja sana Ip man 3Asnt kwa magazet
Ninawakumbuka ndg zangu humu, nimeamka na hisia za ajabu, najisikia kumsalimia kila mtu humu. Nawapenda sana, nakumbuka matunda ya kf...ninawashukuru wote.Niambie mkuu Quigley
Wow! Unajua umenifanya nijisikie poa sana.
Ningekuwa na uwezo ningekupa maua kama advance, bahati mbaya simu yangu haina maua na Shunie aunt yangu alinifundisha ila ndo hivyo tena, nimesahau. Akija atanielekeza, yeye si ni aunt yangu.
Kwa kuwa sina maua hebu burudika na hii gospel kabla hujenda church.
Tuwe na Jumapili Njema Makapuku Wote
POWERFUL..JUMAPILI NJEMA
Heshima kwako mkuuAsnt kwa magazet
Wow! Unajua umenifanya nijisikie poa sana.
Ningekuwa na uwezo ningekupa maua kama advance, bahati mbaya simu yangu haina maua na Shunie aunt yangu alinifundisha ila ndo hivyo tena, nimesahau. Akija atanielekeza, yeye si ni aunt yangu.
Kwa kuwa sina maua hebu burudika na hii gospel kabla hujenda church.
Tuwe na Jumapili Njema Makapuku Wote
Wow! Unajua umenifanya nijisikie poa sana.
Ningekuwa na uwezo ningekupa maua kama advance, bahati mbaya simu yangu haina maua na Shunie aunt yangu alinifundisha ila ndo hivyo tena, nimesahau. Akija atanielekeza, yeye si ni aunt yangu.
Kwa kuwa sina maua hebu burudika na hii gospel kabla hujenda church.
Tuwe na Jumapili Njema Makapuku Wote