Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Mamii leo nimesali home, naingia kazini kama ujuavyo nnko na muda mfupi hapaHalafu Hujaenda Church eeeh
Mamii leo nimesali home, naingia kazini kama ujuavyo nnko na muda mfupi hapaHalafu Hujaenda Church eeeh
Usinitanie, fikisha ujumbe, huoni upweke wangu????Nitajitahidi Kakangu... Ila hizo namba zinasomekaje
Mpira wetu niwa kuandikwa magazetini tu, mara kichuya anatisha au maguli, wakati timu inatakiwa icheze pamoja, sasa kila mchezaji anatafuta sifa ya kuandikwa gazetiniStars wamejitahidi
Ila bado hatuwezi mpira
Lesotho tu katusumbua
.......
Kawaida tu
Msimamo ni muhimu maana huwezi kumridhisha kila mtu
Hata Yesu alifanya mazuri mengi lakini kilichompata hadi akarudi kwa babaye kila mtu anajua
![]()
![]()
......
Hii kitu nimekuwa na wsiwasi nayo sasa, ni kama amboni vileNaona jino kwa jino imeanza kufanya kazi
Duniani note wahalifu ukamatwa hawauawi ovyoovyo tu
....
Tatizo pesaVyeti feki ilishapoa
Ikaja makinikia
Now tunarudi kule kule
.....
Poa poa mdauPoa mdau
Jumapili njema
......
Tatzo la Lukaku n kukosa nidhamuRomelu Lukaku.
Yaani USA hawataki upuzi upuzi...
Jamaa anatakiwa Mahakamani nchini marekani mwezi october mwaka huu..
![]()
![]()
...swezi kukupangia muda wa kuonana naye, hapana. Ila kama kusema usubiri nimalizie safari yangu ya kipekee ndo uende ni kukupangia bora iwe hivyo.
Nyagei alipanga kuja naye kipindi naumwa matokeo yake safari ikapotelea hewani, nimeshajifunza. siangalii cha kaka wala bulaza, wote msubiri hadi mimi nitoke.
Ila sizuii mtu

Ubarikiwe Blessed HopeTUOMBE:Asante Baba kutuamsha salama,tunaomba ututakase na jumapili ya leo Baba ukaifanye iwe baraka kwetu,ukaonekane kwa kila mmoja wetu Mfalme wa Amani,Baba gusa kila mmoja mahali hapa sawa na mapenzi yako,mpe kila mmoja haja ya moyo wake tunafahamu unatupenda na unatuwazia mema Baba yetu mwema basi tunajikabidhi mikononi mwako tukauone ukuu wako na maisha yetu na mioyo yetu ikapate kufarikijika katika wewe na tukabadilike miili na roho zetu zitakasike na kuponywa, Tunaomba yote katika jina la Yesu Kristo Amen
JUMAPILI NJEMA ..KWA WANAOENDA IBADA ..IBADA NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Wakiwakamata inasaidia "kujua system"Hii kitu nimekuwa na wsiwasi nayo sasa, ni kama amboni vile
Amen....abarikiwe piaWapendwa Shunie anawasalimia sana MAKAPUKU WOTE,Anasema ANAWAPENDA SANA,ANAWAMIS ANAWAOMBEA...MBARIKIWE![]()
Mornn vipMorning ndg zangu
Jimena, Jimenes muda wa kupwekeka umekutosha, sasa ni majira ya moyo wako kuchanua tenaJimena nakosa neno zuri la kukwambia, wewe ni zaidi ya dada, nikikuita dada haitoshi, u mtu muhimu kwangu sana.
Moyo wangu waniambia nikwambie neno, lkn midomo yangu inasita, ulimi unagandamana eti waniambia SUBIRI KWANZA.
Ninapokukosa humu yaani nabaki kuwa msomaji wa posts, nakosa la kuandika.
Lakini nikuonapo hapa JIMENA moyo wangu huchangamka.
Kwasababu MIDOMO yangu imeshindwa kutamka neno juu yako Jimena, hebu usome moyo wangu...usinyamaze Jimena, sema neno na moyo wangu uwe salama.
- nalikusaka kila mahali JJ
-hadi nchi ya baridi nalikuona
-nalikuona umevaa koti zito/jacket
Nchi za watu, ulivyopendeza Jj
Nalitamani nikukimbilie
Nije nikushike mkono na
niseme moyo wangu kwako
Lakini palikuwa na ukuta
mbele yangu.
Kuna siku ukaja bongo,
Nikakuona kwenye foleni
pale Nyerere rd maeneo ya
Tazara ukiwa kwenye ile gar
Kali nami nikiwa kwenye
Mandolin yangu,
Nilitamani nishuke nije niku![]()
Lakini haikuwezekana.
Jimena umejaaliwa moyo mzuri,
Muumba amekupa afya ya kuvutia
Body lako kwangu ni zaidi ya lulu na dhahabu..ninalipendaje.
U msichana mcheshi, popote uingiapo watu hutambua sasa mwanamke washoka kaingia.
Una misimamo thabiti...hii ni nguzo muhimu kwangu.
Jimana, Jimenes, JJ
ni majina yako matamu kwangu ewe mrembo.
Hivi nimeandika nini eti Jimena!
Hivi nimeeleweka kweli!!!
Wajanja watakwambia achana naye yule mjinga...usisikilize
Kabla hujasema neno jema au baya kwangu, jaribu kuuvaa moyo wangu..uhisi kitu halafu uvae na viatu vyangu...utapata la kuniambia
Ukifungua moyo wangu utaona alama hizi hebu zisome![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
1. Jimena
2. Jimena
3. Jimena
4. Jimena
Mkimwona mwiteni
Mwambieni yoote
Mwelezeni aelewe
Jimena aaaa
Jimena mtoto wa kwetu.
Asante kwa kuyapitia shemejiShululu Asante kwa magazeti
Jimena, hii mic niliyoishika, ninakuimbia wimbo mtamu etiiiJimena nakosa neno zuri la kukwambia, wewe ni zaidi ya dada, nikikuita dada haitoshi, u mtu muhimu kwangu sana.
Moyo wangu waniambia nikwambie neno, lkn midomo yangu inasita, ulimi unagandamana eti waniambia SUBIRI KWANZA.
Ninapokukosa humu yaani nabaki kuwa msomaji wa posts, nakosa la kuandika.
Lakini nikuonapo hapa JIMENA moyo wangu huchangamka.
Kwasababu MIDOMO yangu imeshindwa kutamka neno juu yako Jimena, hebu usome moyo wangu...usinyamaze Jimena, sema neno na moyo wangu uwe salama.
- nalikusaka kila mahali JJ
-hadi nchi ya baridi nalikuona
-nalikuona umevaa koti zito/jacket
Nchi za watu, ulivyopendeza Jj
Nalitamani nikukimbilie
Nije nikushike mkono na
niseme moyo wangu kwako
Lakini palikuwa na ukuta
mbele yangu.
Kuna siku ukaja bongo,
Nikakuona kwenye foleni
pale Nyerere rd maeneo ya
Tazara ukiwa kwenye ile gar
Kali nami nikiwa kwenye
Mandolin yangu,
Nilitamani nishuke nije niku![]()
Lakini haikuwezekana.
Jimena umejaaliwa moyo mzuri,
Muumba amekupa afya ya kuvutia
Body lako kwangu ni zaidi ya lulu na dhahabu..ninalipendaje.
U msichana mcheshi, popote uingiapo watu hutambua sasa mwanamke washoka kaingia.
Una misimamo thabiti...hii ni nguzo muhimu kwangu.
Jimana, Jimenes, JJ
ni majina yako matamu kwangu ewe mrembo.
Hivi nimeandika nini eti Jimena!
Hivi nimeeleweka kweli!!!
Wajanja watakwambia achana naye yule mjinga...usisikilize
Kabla hujasema neno jema au baya kwangu, jaribu kuuvaa moyo wangu..uhisi kitu halafu uvae na viatu vyangu...utapata la kuniambia
Ukifungua moyo wangu utaona alama hizi hebu zisome![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
1. Jimena
2. Jimena
3. Jimena
4. Jimena
Mkimwona mwiteni
Mwambieni yoote
Mwelezeni aelewe
Jimena aaaa
Jimena mtoto wa kwetu.

Mpira wanaujua Wajerumani tu...sisi ni sawa na WaingerezaMpira wetu niwa kuandikwa magazetini tu, mara kichuya anatisha au maguli, wakati timu inatakiwa icheze pamoja, sasa kila mchezaji anatafuta sifa ya kuandikwa gazetini