shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante kwa kuyapitia mama mchungajiAsante mkuu Shululu na Taifa Stars kwa magazeti mbarikiwe
Asante kwa kuyapitia mama mchungajiAsante mkuu Shululu na Taifa Stars kwa magazeti mbarikiwe
Zitatolewa bei elekezi hata bima ya afya watapunguza,kuna wakati bima wanazuia matibabu kwa ajili ya gharamaDawa kwenye mahospital hamna
Hata mi nilimuonaKuna chimbo alikuwepo
KuumbeNi noma
Ila ukipata muda tutapiga stori haina shida
Pia Siku hizi tupo watu tunawasiliana hadi nje ya Jf
........
OhoooSana, kuna moja kunguru hafugiki na tikisa...........
Ni kweli ishii siyo kushusha beiDawa kwenye mahospital hamna
Afu huyo shedy jf anakuja ila humu kp ndio hsingiiMmemtisha mndali
Usiwaamini wanasiasaZitatolewa bei elekezi hata bima ya afya watapunguza,kuna wakati bima wanazuia matibabu kwa ajili ya gharama
Nimembeep hajapigaWoyoyoooooooooooo
AmenTunakushukuru Baba Mungu kutuamsha salama ,asante sana kwa wema wako,tutakase tuponye tuongoze ee Roho Mtakatifu uwe na si siku ya leo ,tutende mema ,tufanye kazi na pia tupumzike.
Tunawakabidhi kwako wagonjwa,wafiwa,wajane,wagane,wasafiri damuvya mwanao Yesu Kristo iwafunike wakuone wewe katikabmaisha yao,tupe moyo safi na wenye uvumilivu tunapokuwa na wenzetu,jirani zetu,wenza wetu,ndugu jamaa na marafiki tujinyenyekeze,tuwe na upendo wa kweli maana tukipenda wenzetu kati yetu Mungu yupo.
Asante Baba maana utatenda sawa na mapenzi yako Amen
SIKU NJEMA![]()
![]()
MBARIKIWE
Fanyeni kazi mpate mabandooSawa tu mdau
Kazi first....JF next
.......
GoodShaka ondoaa ....kila siku usiku saa 4 ntakuwa na time kidogo
Morning to you kapukuMorning all kapuku
Shukrani sana mkuu shululu kwa magazeti na udhamini mnono wa TanzaniaView attachment 537573Kwa udhamini mnono wa Taifa star, tukutane tena kesho na siku njema
Kuhudumia wake wawili sio mchezoNi noma ila ndo ukubwa
......

Inashangaza
Naona karibia magwoji wote muziki wa dansi wamelala makaburini na muziki wao
Asante ankali kwa magazetiView attachment 537573Kwa udhamini mnono wa Taifa star, tukutane tena kesho na siku njema