YOHANA 1
Asante Mungu kwa neno lako.
Yamkini mimi na wewe tungemuona YESU macho kwa macho tungetamanu kumfuata na kujua anapokaa,na hata yawezekana tungehamishia makao yetu kwake
YOHANA 1
38."Yesu aligeuka ,akawaona wakimfuata akawaambia,mnatafuta nini?wakamwambia Rabi,(yaani mwalimu),unakaa wapi?
39.Akawaambia Njoni,nanyi mtaona,Wakaenda,wakaona akaapo,wakakaa kwake siku ile,Nayo ilikua yapata saa kumi.
Asante Mungu kwa neno lako.
Yamkini mimi na wewe tungemuona YESU macho kwa macho tungetamanu kumfuata na kujua anapokaa,na hata yawezekana tungehamishia makao yetu kwake
![]()
Sisi hatuna haja tena ya kumfuata YESU mpaka anapokaa,Neno linasema YESU anakaa ndani yetu na sisi ndani yake,swali ni hili kwetu sote Asubuhi tulivu ya leo,Je?unamtafuta YESU unataka nini kwake?
Mpendwa wangu YESU yu ndani yako,mwambie kile unachotaka asubuhi ya leo hakika utapokea.
Kama aliwapeleka wale waliomfuata anapokaa ,nawe atakutendea.
SHALOM SHALOM
ShalomWaacha wee mfugajiii ktk ubora wakooHatutafuri hela kwa ajili ya bando
Yupo tunaoweza kukaa bila kazi mwaka mzima na tusikaukiwe bando
![]()
![]()
![]()
....
Ni kweli,dunia tunapita..kuna kizazi kitapotea..ndio ilivyoNaona karibia magwoji wote muziki wa dansi wamelala makaburini na muziki wao
Dede,Gurumo,Tx Moshi, n.k
Kizazi chao kimepukutika
.......
Ohooooo.....Ukiona hivyo watu wameona mnavyoendana
Jaribu mdau Bitoz uone ,ni ngumu sana kugawa moyoUna majungu kama fulani
![]()
![]()
![]()
.....

HongeraHatutafuri hela kwa ajili ya bando
Tupo tunaoweza kukaa bila kazi mwaka mzima na tusikaukiwe bando
![]()
![]()
![]()
....
PoleeeKubwa sana, mimi nimejionea jana tu
WanapendezaaaUkiona hivyo watu wameona mnavyoendana
HBD Robbie KeaneLeo katika Historia
8/7/1980 - Robbie Keane anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa miguu toka Ireland.
Asante ankali JJ kwa historiaNa mpaka hapo basi sina la ziada kutoka kwnye Historia. Jina langu ni Jimena Jimenes. ... Kumbuka tu nilikuwa hapa kwa hisani ya sikukuu ya wakulima ya 7 7
Muwe na week njema na mapumziko mema. Ciao
Leo katika Historia
8/7/1948 - Jeshi la Anga la Marekani laanza kuajiri askari wa kike katika jeshi .