Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kubwa sana, mimi nimejionea jana tu
Yaani hajuna dawa na zilizopo watu wanapewa dozi nusu nusu
Niliandikiwa dawa 3
Ya kwanza nikapwwa vidonge viwili tu
Ya pili vidonge 6
Ya tatu ndo sikupewa kabisa japo inauzwa 500/= tu
Yaani nilipewa dawa za kutumia Siku moja tu sio kitu cha kawaida
Inabidi mtu uhangaike na hospital kubwa ndo kuna nafuu
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom