Makapuku Forum

UNAIJUA TABIA YA MAUMIVU YA NDANI AU UCHUNGU??
Maumivu au uchungu unatabia zifuatazo;
1. Uchungu unambadilisha mtu tabia.
2. Uchungu humfanya mtu kupunguza imani (trust) au kutomwamini mwingine kabisa. Uchungu na maumivu ya moyo humfanya mtu kufikiria kuliko uwezo wake wa kawaida.
3. Uchungu pia humfanya mtu kujifungia ndani yake mwenyewe kihisia (emotional neglect), hawezi kufunguka, hazungumzi kawaida, haelezei hisia zake, ukimya na kununa kusiko kwa kawaida. Uchungu ni mbaya sana. Nadhani kati ya vitu muhimu vyakuvihakikisha kwa mpenzi wako ni kuhakikisha unapunguza mazingira ya kumsababishia machungu
 
Well said
 
Mbona anacheka
 
I see
 
Cc Obe na Husna
 
Kulikoni shunie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…