Makapuku Forum

Makapuku Forum

MATHAYO 5

3.Heri walio masikini wa roho,maana ufalme wa mbinguni ni wao.

4.Heri wenye huzuni Maana hao watafarijika.

Mpendwa usiku wa leo naomba nikwambie,hata kama unapitia mateso gani kama hujamuacha MUNGU Ufalme wa Mungu ni wako na utafarijika..usimwche MUNGU kwa ajili ya shida yoyote..ng'ang'ania kwake

USIKU MWEMA DAMU YA YESU ITUFUNIKE
 
MATHAYO 5

3.Heri walio masikini wa roho,maana ufalme wa mbinguni ni wao.

4.Heri wenye huzuni Maana hao watafarijika.

Mpendwa usiku wa leo naomba nikwambie,hata kama unapitia mateso gani kama hujamuacha MUNGU Ufalme wa Mungu ni wako na utafarijika..usimwche MUNGU kwa ajili ya shida yoyote..ng'ang'ania kwake

USIKU MWEMA DAMU YA YESU ITUFUNIKE
....heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki maana watairithi nchi....


Amen mamii
 
Taarifa ya Matatizo ya Kiufundi

wadau, nasikitika kwa kipengele cha Muziki kutotimiza lengo lake kikamilifu. Maandishi yalikuwa sahihi sema muziki ulitatiza, nilifanya ninachofanya kila siku kuweka muziki.

Nimekuwa na experience some net interruptions na ninajaribu kufuatilia hiki maana kinanikosesha mambo mengi ikiwemo kipengele hiki ninachokipenda.

Naiweka tena clip hii (YouTube) ya historia ya Shaaban Dede

Naamini itakaa sawa sasa


Nawashukuru sana lee empire , shululu ,BlessedHope , Tumosa , husna muba kwa kushare nami mlichokutana nacho. Na wadau wote mnaofuatilia KF


Asante Obe barikiwa
 
MATHAYO 5

3.Heri walio masikini wa roho,maana ufalme wa mbinguni ni wao.

4.Heri wenye huzuni Maana hao watafarijika.

Mpendwa usiku wa leo naomba nikwambie,hata kama unapitia mateso gani kama hujamuacha MUNGU Ufalme wa Mungu ni wako na utafarijika..usimwche MUNGU kwa ajili ya shida yoyote..ng'ang'ania kwake

USIKU MWEMA DAMU YA YESU ITUFUNIKE


Amen mama mtumishi wa Mungu. Asante kwa mawaidha mazuri ya kutia moyo na kunimotivate angalau kujaribu kutenda mema na kutokata tamaa. Usiku mwema
 
MATHAYO 5

3.Heri walio masikini wa roho,maana ufalme wa mbinguni ni wao.

4.Heri wenye huzuni Maana hao watafarijika.

Mpendwa usiku wa leo naomba nikwambie,hata kama unapitia mateso gani kama hujamuacha MUNGU Ufalme wa Mungu ni wako na utafarijika..usimwche MUNGU kwa ajili ya shida yoyote..ng'ang'ania kwake

USIKU MWEMA DAMU YA YESU ITUFUNIKE
Amen, Asante mama mchungaji kwa maombi ya usiku, nawe pia ufunikwe kwa damu ya Yesu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom