Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Wingu Limetanda

Hivi ni mara ngapi kapuku mwenzangu ulishamwambia asante yeyote anayeifanya siku yako kukamilika kwa uzuri kabisa? Najua unatafakari hili maana nami nilikaa na kulikumbuka sana jambo la kushukuru. Unaweza kushukuru kwa namna tofauti, kwa hali na mali, kwa tabasamu na kupeana tano. Vyovyote vile, kutoa shukrani ni jambo la kiungwana na kwa sababu hiyo kwanza kabisa nakusalimia na kisha nashukuru kuwepo hapa. Unapafanya KF pawe sehemu bora kabisa.

Kushukuru, ndo ninachoongelea leo kwa ufupi, jiangalie nywele zako zilivyopendeza, msusi kafanya kazi yake, angalia mikato ya nywele, kinyozi kafanya kazi, angalia kiatu kilivyong'aa, shushaina kachukua muda wake kukiwakisha. Umeenda kula hotel, meza imesafishwa chakula kimekuja kwa wakati na maji umeletewa. Umepanda daladala, bodaboda au express umefika unapoenda. Unakumbuka kuwashukuru hawa watu.

Upande wangu sasa, hata kama huwa siwashukuru kivile lakini nakuambia ukweli kabisa, nikiendaga bakulutu na bendi ipo basi mpiga gitaa, mpiga ngoma, mwimbaji basi watacheka na buku buku au jero au wakipumzika watagonga moja moja watengeneze sauti.

Nimeongelea Bakulutu, machozi yamenijaa usoni hata lee empire mjomba wangu anajua kabisa kuwa Shaaban Dede ambaye ni jirani yake katutoka, ni msiba wa Kitaifa nyimbo zake zinajulikana na wengi. apumzike kwa Amani Shaaban Dede.

Angalia clip hii ni mahojiano yake na star TV enzi hizo mkorogo kwa watangazaji unafanya kazi yake sawasawa




Kumbuka kutip hata kama unalipia huduma ya watu niliowataja pale juu. Naamini unajua kabisa wanacholipwa

 
Taarifa ya Matatizo ya Kiufundi

wadau, nasikitika kwa kipengele cha Muziki kutotimiza lengo lake kikamilifu. Maandishi yalikuwa sahihi sema muziki ulitatiza, nilifanya ninachofanya kila siku kuweka muziki.

Nimekuwa na experience some net interruptions na ninajaribu kufuatilia hiki maana kinanikosesha mambo mengi ikiwemo kipengele hiki ninachokipenda.

Naiweka tena clip hii (YouTube) ya historia ya Shaaban Dede

Naamini itakaa sawa sasa


Nawashukuru sana lee empire , shululu ,BlessedHope , Tumosa , husna muba kwa kushare nami mlichokutana nacho. Na wadau wote mnaofuatilia KF

 
Taarifa ya Matatizo ya Kiufundi

wadau, nasikitika kwa kipengele cha Muziki kutotimiza lengo lake kikamilifu. Maandishi yalikuwa sahihi sema muziki ulitatiza, nilifanya ninachofanya kila siku kuweka muziki.

Nimekuwa na experience some net interruptions na ninajaribu kufuatilia hiki maana kinanikosesha mambo mengi ikiwemo kipengele hiki ninachokipenda.

Naiweka tena clip hii (YouTube) ya historia ya Shaaban Dede

Naamini itakaa sawa sasa


Nawashukuru sana lee empire , shululu ,BlessedHope , Tumosa , husna muba kwa kushare nami mlichokutana nacho. Na wadau wote mnaofuatilia KF


Ucjal mpendwa
 
Taarifa ya Matatizo ya Kiufundi

wadau, nasikitika kwa kipengele cha Muziki kutotimiza lengo lake kikamilifu. Maandishi yalikuwa sahihi sema muziki ulitatiza, nilifanya ninachofanya kila siku kuweka muziki.

Nimekuwa na experience some net interruptions na ninajaribu kufuatilia hiki maana kinanikosesha mambo mengi ikiwemo kipengele hiki ninachokipenda.

Naiweka tena clip hii (YouTube) ya historia ya Shaaban Dede

Naamini itakaa sawa sasa


Nawashukuru sana lee empire , shululu ,BlessedHope , Tumosa , husna muba kwa kushare nami mlichokutana nacho. Na wadau wote mnaofuatilia KF


Asante Obe kwa music
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom