Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Yaani huyo ndo mjombaangu bhana, yaani leo anajitoa fahamu kabisa anajifanya kusahau kuwa maua huwa nayaomba kwako. Anataka kutuchonganisha hakyanani
Na hawezi haki ya nani
Yaani huyo ndo mjombaangu bhana, yaani leo anajitoa fahamu kabisa anajifanya kusahau kuwa maua huwa nayaomba kwako. Anataka kutuchonganisha hakyanani
Nashukuru mpendwa wangu...nao bila kinyongo wanakusalimia sana🙂
Kyindi kalumbuTununu dada kutwimaki
Mjomba yaani wewe unataka niwehuke kabisa, yaani unajua kabisa nikipata maua toka kwa BH mtanikamatia Kibiti, mbio zake chizi au harmorapa kasingiziwa. Zitakuwa mbio za furaha lakini😀

Pole mamaa vumiliaTumbo linaniumaaaaaaaa
Unaenda wapi rudi kajieleze kwa mkweo
Sio vizuri mkwe kusema...ila huu ni utumwa..anavumilia kwakuwa anakupenda na anaamini utabadilika....haya maisha ya kuigiza siku moja utayafurahia in real life maana Moyo na mdomo huumba

Amani anayooDawa ni AMANI YA MWANANGU
Haya mwambie tumemmicLeo zamu yake anapikaa....simu ninayoo mm
Kyindi nulukama au ni seke lyamaniKyindi kalumbu
KasemaaUongooo hata hajasema km anampaaa
Ww ndo umesababishaPolee mama mchuchu ...vipii dawa umepataa ??
Yaani huyo ndo mjombaangu bhana, yaani leo anajitoa fahamu kabisa anajifanya kusahau kuwa maua huwa nayaomba kwako. Anataka kutuchonganisha hakyanani

Wapiiii.....Kasemaa
Vp kule mahaliNambie tuu
Mama mkwee kachachamaaaaUnaenda wapi rudi kajieleze kwa mkweo