Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makapuku naona kama utawala wenu unaelekea kuangushwa na wazee wa kupeana likes
Kwani kuna mashindano?
Kila mtu afanye anavyojisikia
Kwani JF uzi ukiwa na post/wachangiaji wengi kuna malipo au mtu akiwa na like nyingi analipwa?

Sisi tuna maisha yetu na hatuwezi kushindana kupost JF na hata uzi kwa siku uwe na post 7 hakuna hasara yoyote ilimradi mawe yanaingia mfukoni mwetu

Ingependeza zaidi post yako Hii ungepost huko maana ungeongeza like na wingi wa post

........
 
Kwani kuna mashindano?
Kila mtu afanye anavyojisikia
Kwani JF uzi ukiwa na post/wachangiaji wengi kuna malipo au mtu akiwa na like nyingi analipwa?
Sisi tuna maisha yetu na hatuwezi kushindana kupost JF na hata uzi kwa siku uwe na post 7 hakuna hasara yoyote ilimradi mawe yanaingia mfukoni mwetu

Ingependeza zaidi post yako Hii ungepost huko maana ungeongeza like na wingi wa post

........
 
Kwani kuna mashindano?
Kila mtu afanye anavyojisikia
Kwani JF uzi ukiwa na post/wachangiaji wengi kuna malipo au mtu akiwa na like nyingi analipwa?
Sisi tuna maisha yetu na hatuwezi kushindana kupost JF na hata uzi kwa siku uwe na post 7 hakuna hasara yoyote ilimradi mawe yanaingia mfukoni mwetu

Ingependeza zaidi post yako Hii ungepost huko maana ungeongeza like na wingi wa post

........
Hamna mashindano mkuu..
 
Kwani kuna mashindano?
Kila mtu afanye anavyojisikia
Kwani JF uzi ukiwa na post/wachangiaji wengi kuna malipo au mtu akiwa na like nyingi analipwa?
Sisi tuna maisha yetu na hatuwezi kushindana kupost JF na hata uzi kwa siku uwe na post 7 hakuna hasara yoyote ilimradi mawe yanaingia mfukoni mwetu

Ingependeza zaidi post yako Hii ungepost huko maana ungeongeza like na wingi wa post

........
Nimejikuta nacheka tuu
 
Kwani kuna mashindano?
Kila mtu afanye anavyojisikia
Kwani JF uzi ukiwa na post/wachangiaji wengi kuna malipo au mtu akiwa na like nyingi analipwa?
Sisi tuna maisha yetu na hatuwezi kushindana kupost JF na hata uzi kwa siku uwe na post 7 hakuna hasara yoyote ilimradi mawe yanaingia mfukoni mwetu

Ingependeza zaidi post yako Hii ungepost huko maana ungeongeza like na wingi wa post

........
Ujumbe kaupata huyu harudi tena na ujinga wake hapa
 
poa poa mkuu.. Ngoja nikachukue likes kwanza
Usichokijua ni kwamba JF ni sehemu nzuri kwa wenye akili kubwa.....wanatumia fursa
Wapo wanaolipwa ili washinde JF
Wapo wanaopiga pesa kupitia JF
Wapo wanaofanya utapeli kupitia JF
Wapo wanaofanya biashara kupitia JF
Wapo wansoshinda zjf ili kupata maarifa n.k

Sasa wenye akili ndogo wanashindana kupost,kupeana like,kutukana ,kutafuta umaarufu n.k

Sisi lengo kuu urafiki na kupeana maarifa na pia kila mtu ana lengo lake binafsi
Mfano mimi kuna kitu nimekigundua kupitia Jf na nitajaribu kukifanya muda sio mrefu
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom