Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pale kuna bandiko limeniumiza sana ...alikua anayaona mauti,amesema kuhusu watoto,wazazi,mtarajiwa....kwa uchungu..alikata tamaa kabisa,sijui aliona nini ni vigumu kutafsiri kuna mtu ametoa facebook kaweka pale,nimelia sana wanadamu ni mavumbi
Kweli kabisa mama,baada ya kutoka kwenye uzi ule nmepoteza amani kabisa,kikubwa tumuombee apumzike kwa amani tuwasafiri duniani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom