Makapuku Forum

Makapuku Forum

nimecheka sana hapo kwenye chizi haponi hutuliza mzuka
Nafikiri siku anamfunga Sauzi alikuwa kam eza dozi na watu tukaamini kapona
Leo kasahau kumeza dawa tuliokuwa tunamsifia wote tumeumbuka
Kichaa huwa haponi isipokuwa Siku nyingine huamka vizuri na Siku nyingine vibaya

Hata kitaani yupo baadhi ya siku huwa sawa ila siku nyingine kutembea uchi wa mnyama
Ni kosa kumwekea dhamana chizi
...



 
Nafikiri siku anamfunga Sauzi alikuwa kam eza dozi na watu tukaamini kapona
Leo kasahau kumeza dawa tuliokuwa tunamsifia wote tumeumbuka
Kichaa huwa haponi isipokuwa Siku nyingine huamka vizuri na Siku nyingine
Hata kitaani yupo baadhi ya siku huwa sawa ila siku nyingine kutembea uchi wa mnyama
Ni kosa kumwekea dhamana chizi
...


 
Nafikiri siku anamfunga Sauzi alikuwa kam eza dozi na watu tukaamini kapona
Leo kasahau kumeza dawa tuliokuwa tunamsifia wote tumeumbuka
Kichaa huwa haponi isipokuwa Siku nyingine huamka vizuri na Siku nyingine
Hata kitaani yupo baadhi ya siku huwa sawa ila siku nyingine kutembea uchi wa mnyama
Ni kosa kumwekea dhamana chizi
...


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom